Huyu ni Ustaadhi Lowassa!!

Huyu ni Ustaadhi Lowassa!!

3.JPG .
 
Hivi pictures nazo ni SIASA??? MOD please peleka hii kule kwenye pictures
 
Hivi pictures nazo ni SIASA??? MOD please peleka hii kule kwenye pictures
Jitayarisheni,ngoma inakuja.Urais inaonekana anautaka.Badala ya kulalamikia picha,tumia muda huo mjipange.Otherwise subiri uone.Unadhani wanasiasa wanapiga picha kwa bahati mbaya?Amka wewe.Usije kumbuka shuka kukiwa kumeshakuchwa.
 
Jitayarisheni,ngoma inakuja.Urais inaonekana anautaka.Badala ya kulalamikia picha,tumia muda huo mjipange.Otherwise subiri uone.Unadhani wanasiasa wanapiga picha kwa bahati mbaya?Amka wewe.Usije kumbuka shuka kukiwa kumeshakuchwa.

Kwahiyo UDINI wa Nguo kwako ni SIASA? Please give me a break on that.
 
Jitayarisheni,ngoma inakuja.Urais inaonekana anautaka.Badala ya kulalamikia picha,tumia muda huo mjipange.Otherwise subiri uone.Unadhani wanasiasa wanapiga picha kwa bahati mbaya?Amka wewe.Usije kumbuka shuka kukiwa kumeshakuchwa.

Hawa jamaa wengine huwa hawajui siasa ni nini? walioelewa wameelewa!!
 
Mimi nachukulia tu ni vazi kavaa ambalo linavaliwa na watu wa pwani. Maana tukikubali kuwa mtu akivaa kanzu na balakashia maana yake ni ana pandering kwa Waislamu tunawadharaulisha Waislamu! Nimeona Mbowe akivaa kanzu na balakashia na wengine wengi tu.. kama kuna mtu anazugwa na kanzu basi tuna matatizo makubwa zaidi kuliko vunavyoweza kukiri.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kapendeeza kweli kweli. Akisimama yeye na dkt Slaa kura yangu kwake.

Wajina hijab ni vazi takatifu (Ref. Fatma Kimario) ila kanzu na barakashia ni ruksa kuvaliwa na mla kiti moto a.ka. mbuzi katoliki? Pata picha anaporudi home mama kamtengenezea rosti safi la kitimoto alafu linadondokea kwenye hilo vazi....

Uislamu dini ya babu zangu mama yangu akafanya mapinduzi kwenye ukoo akatubatiza wote tukabakia na historia tu kwamba babu alikuwa anaitwa Juma; wapendwa msipende kutumiwa kama dodoki husafisha chombo na likisha maliza kazi yake lenyewe huonekana chafu.... Msikubali kuizalilisha imani yenu...Tuwapende watu wote lakini tuziheshimu imani zetu ili na wengine waziheshimu, na inapotokea mtu kuzizalilisha imani zetu kwakuzitumia kuwa gawa watu wetu tuwakatae wazi wazi ili iwe fundisho kwa wote wenye tabia kama hizo!
 
Mimi nachukulia tu ni vazi kavaa ambalo linavaliwa na watu wa pwani. Maana tukikubali kuwa mtu akivaa kanzu na balakashia maana yake ni ana pandering kwa Waislamu tunawadharaulisha Waislamu! Nimeona Mbowe akivaa kanzu na balakashia na wengine wengi tu.. kama kuna mtu anazugwa na kanzu basi tuna matatizo makubwa zaidi kuliko vunavyoweza kukiri.
Mzee Mwanakijiji jamaa kavaa tuu hiyo Kanzu??
 
...kweli aise hawa BAR-KWETU wanaudhalilisha Uislamu. Mwana-CCM mwislamu huko Igunga alipovuliwa mtandio,wakauita hijabu na kutoa matamko. Baadaye tukasikia mwana-CHADEMA mwislamu hukohuko Igunga kauwawa kisiasa,hakuna tamko lolote lilitolewa. Hebu ngoja tusubiri kwa hili la Lowasa,BAR-KWETU watasemaje!!
 
Mwizi! Mwizi! Jizi hiloooooo! Limeiibia serikali sasa linataka kungilia misikitini jamaniiii kamata jizi hilo, shika hilooooooooooo! Livueni kanzu jamani linyonyadamu hilooooooo
 
Back
Top Bottom