Huyu ni Ustaadhi Lowassa!!

Huyu ni Ustaadhi Lowassa!!

Ukiwa mwanasiasa hasa wa malengo makubwa Kanzu na kibaraghashia ni muhimu kuwa kabatini.Asilimia 98 ya wanasiasa wa juu
tanzania wana vifaa hivi yakhe.
 
"Ahh kumbe yakhe yule mtu ni mwenzetu BAR KWATAR watasema tumpe kura ati"

huyu jamaa ni msanii kwa taaluma anayo shahada ya sanaa na maigizo UDSM
 
Hata avae kanga, uraisi hapati ng'o!!.
 
attachment.php
Mkao wa Kusubiria Ubwabwa huu Mfukoni hakosi Ndizi na Pilipili

Huyu si alikwenda kutubu kwa Prophet TB Joshua, iweje leo avae kiubar-kwata bar-kwata? Kajiharibia kwa kuchanganya sukari na chumvi na urais asahau!

Ila picha imetola kama kibonzo cha "Chakubanga"
 
"Ahh kumbe yakhe yule mtu ni mwenzetu BAR KWATAR watasema tumpe kura ati"

huyu jamaa ni msanii kwa taaluma anayo shahada ya sanaa na maigizo UDSM

Umenikumbusha alipoambiwa ana "digrii ya kukata viuno jukwaani"
 
Huyu jamaa mtazamo wake ni zaidi ya tunavyo mfikiria nadhani ana create awareness. Kazi ipo 2015
 
Kapendeeza kweli kweli.Akisimama yeye na dkt Slaa kura yangu kwake.
 
huyu si alikwenda kutubu kwa prophet tb joshua, iweje leo avae kiubar-kwata bar-kwata? Kajiharibia kwa kuchanganya sukari na chumvi na urais asahau!

Ila picha imetola kama kibonzo cha "chakubanga"

kwani ukiristo ni mavazi?
 
wewe Kimbunga unaweka picha ya mwana Afrika, mwana mapinduzi Sankara halafu unasapoti viongozi waroho wa madaraka na wasio safi kama Lowassa, utakua huna uzalendo wa kweli.
 
Mwizi anavaa vazi takatifu!!. Alaaniwe.
 
Usanii wake na tamaa zake hizi za uongozi zitampeleka kaburini kwa uongozi hauwezi zaidi ya jasba na njama za kulisha watu sumu.Anayeua kwa upanga atakufa kwa upanga.
 
Bakwata wameshanunuliwa na NEC ipo Sold out kazi tunayo watanzania
kuna watu kazi yao ni kuchekacheka ngoja wakute nchi imeuzwa ndiyo wajifanye kuchachamaa hapo itakuwa bila kumwaga damu hakuna kitakachopatikana!!
 
Back
Top Bottom