Hahahaa hahahaaaa
Mh!!! si wanasema-ga kwa mabeberu hakuna Lumumba nikiimanisha juhudi haziungwi ovyo ovyo..au!Ni lumumba wa huko kwa mabeberu anaunga mkono juhudi.
Ni Chancellor of the exchequer Philip Hammond na mwanachama wa Conservatives chama kinachotawala uingereza.
Fafanua maana ya hiyo 'Chancellor of the Exchequer'...Comrade siyo wote tunafahamu mambo haya...Binafsi naweza nikafikiri kuwa ni 'Mkuu wa Chuo Kikuu cha Exchequer'......tehtehtehteteh (a joke please)