Huyu nesi kaniacha hoi

Huyu nesi kaniacha hoi

Kababi, kwa zama hizi za UKIMWI bado ulitaka kujilipua kavukavu?
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.

Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.

Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n

Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
hahahaaaaaa hahaaaa nimecheka sana pima mkuu ukweli utakuweka huru ndugu ila punguza kucheza rafu,ila ukiujua ukweli utakuwa huru zaidi
 
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.

Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.

Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n

Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Mi malaya akili zao bwana utazijua tu.
 
nesi katisha mbaya.....nimeipenda stail yake
 
ha ha ha ha KOMESHA KIBOKO YA VICHECHE "DETERMINE" au inaitwa IMMUNOCHROMATOGRAPH
 
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.

Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.

Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n

Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Ndivyo walivyo mkuu wanatembea na vipimo vyao kabisa ndivyo vinvyofanya kuwa wagawaji wazuri tu,nilishakua na mmoja akirudi tu kutoka mkoa ananipima na yeye pia kisha kizungu!
 
Aisee nimependa strategy ya huyo nesi!!She is one smart lady!!!

Hajakutana na 'Makomandoo wa mujini'. Hiyo tester inawekwa damu ya ng'ombe tuu, majubu anaonyeshwa negative! Mwenyewe anaachia kitumbua kimegwe!
Chezeya town weye!
 
Du,, haki ya nani kupima si mchezo,,! umetoka nduki,!?
Haya basi jipime mwenyewe taratiiibu, majibu iwe siri yako!
 
kwahiyo yangetoka safi mngedinyana wakati mnatakiwa kurudia tena vipimo baada ya muda ili kujihakiki! nurse hakulifikiria hilo.

Heheh nesi naye alikuwa anataka ale ndizi nyama....
 
mkuu ulichokua unataka nu kitu gani ...umepewa umekimbia tena..
 
Back
Top Bottom