Huyu nesi kaniacha hoi

Huyu nesi kaniacha hoi

...mwanaume wa kweliiiiiii hana wogaaa, dak 1 tu jogooo akasinziaaa....big up to Nesi....wanawake wote wakijituma hivi basi maambukizo ya vvu yatapungua kwa 85%.

Jogoo alisinyaa ghafla aiseeee!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
huyo nesi safi sana maana kaona ni muhimu kutumia taaluma yake ili kukulinda na kujilinda yeye mwenyewe
 
Huyo nesi kiboko, raha ya dk 2 isilete maafa

Nesi naye ni ----- tu. Maana hata kama angekuta negative haimaanishi 100% hakuna maambukizo. Hivyo vipimo vinatakiwa virudiwe baada ya miezi mitatu kwamaana kuwa maambukizi mapya hayagunduliki na hicho kipimo
 
Manesi wana hvyo vpmo magethoni. Mi yalinkuta wakati tushagegedana kavu mara kibao,siku akanambia tupime.nikagoma,akapma mwenyewe ikaonesha yupo fresh namimi nkamwambia npo fresh kwani sijalabua kavu kwingne. Kupima ngox kuna htaji ujasiri wa chuma.
 
Hahahaha huyo nesi ni kiboko na wewe uliua eli nusu shali(ya kukuona unaogopa kupima) kuliko shali kamili(ya kupima afu agundue mambo sio mambo)
 
Dah wanawake wachache sana wenye altitude hizo wengi wao ndizi nyama as usual tena wanang'ang'ania
 
Hahahaaa.. Hapo patamu aiseee..
Umenikumbusha kale ka msemo ka "imagine an HIV free generation, it begins with you"
Lol
 
ha ha ha ukimaliza pima ukimwi , atapima UTI hadi uje ule mzigo utakuwa umepima kila kitu.... mzuri sana huyo..
 
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.

Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.

Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n

Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Sasa Mkuu umesamehe Nesi, chakula, madawa na viroba pia hata mtaa umeusahu!! take care nenda kapime!
 
Aisee ungekubali halafu ukawa poa ungependwaje? A ma kweli penye miti hapana wajenzi yaaani ungepewa yoooote bila kupimiwa kwa kijiko
 
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.

Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.

Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n

Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Hahahahahaaaa...... nimecheka mpaka basi...
 
Back
Top Bottom