...huyu anakujali mkuu...wewe pima jiamini tu...kila la kheri inshaallah!
Acha kushabikia ufirauni, Hv unajua matumizi ya neno "Inshallah",
...huyu anakujali mkuu...wewe pima jiamini tu...kila la kheri inshaallah!
sasa hiyo damu ya ng'ombe mkuu ungekuwa unatembea nayo au?mana mwenzio kashtukizwa,ndomana hata kiloba kilikata
njo chemba nifunguke shemeji. lol
:bolt: ngoja nikuje faster
Aisee nimejikuta nacheka peke yangu hapa yaani navuta picha jnsi kiroba kilivyoyeyuka gafla hadi ukakumbuka kuwa ni noma kupima na ukasepa. You have made my day.
Nakumbuka jamaa yangu alinipa kipimo cha kijipima miaka hiyo loh nilikiweka ndini zaidi ya mwaka kila nikitaka kutest nashindwa siku nikasema ngoja nipige castle lager za kutosha ili nipime loh kumbe kimexpire akitoi majibu mpaka leo yapata miaka 8 sijawahi pima hiyo kitu kwakuwa my wife yupo fresh na nina kidz 2 nikipimo tosha.
Taratibu basi naona unatoka cheche..karibuni utalipuka...Ndio wengi walivyo na sababu kubwa ni kwamba hawajatulia wanaendekeza ngono zembe na wana msururu wa wapenzi..Lazima mtu uogope!!
umechelewa nimehairisha.
Umenikumbusha mdogo wangu, yeye walikubaliana ila alivyoona majibu ya mkaka mabaya; akampa ya kwake ili kutompanikisha kaka wa watu.
Ila alimtolea nje kisilensa.
Hahahaa kweli hicho kipimo kinatosha mkuu? Lakini yataka moyo kupima kwakweli. mimi bado miaka miwili nikapime kwani kazini ni mandatory yaani sijui itakuwaje? mara ya kwanza Pre-employment Kwapa lilijaa maji kama bahari ya hindi uso ukalowa kabisa kama nimetoka kubatizwa vile yaani duuh.
Ulizama uvinza.