Huyu ndo mwanaume naemtaka

Huyu ndo mwanaume naemtaka

Haka ka mchezo hakaitaji hasira ,Hiyo staili ya kata mti panda mti inaitaji utulivu
 
Ungekua huna mtoto, ningejaribu kubet. Siku baba mtoto akifa ni pm, japo Nina miaka 37.
 
Mbona sifa zote ninazo lakini nina 27 una nifikiliaje mkuu?
 
Napenda sana awe mfanyabiashara either ameajiriwa na anayo biashara japo mimi ni muajiriwa kwani matajiri wote ni wafanyabiashara, hakuna mtu anaefanikiwa hasa kwa mshahara tu.
(Kama hana naweza mfikiria)
Elimu kuanzia angalau form four si mbaya ili tuende sawa mana mimi nina bachelor

Ukiwa na gari/kiwanja/nyumba si mbaya na kama hauna pia haina shida >mimi nina nyumba moja.


Umri 28-35 tutamatch vizuri tu mana mimi nina 27

Akiwa na mtoto siwezi kukasirika sana mana na mimi ninaye ila babake mtoto wangu kaona michepuko ina thamani kwake kuliko mke so nimemwacha aendelee nao, kuliko kuendelea kulia kila siku, nimelia miaka minne non stop so nimeamua kumtua.

Anayejiheshimu na kumpenda Mungu mana hata mimi najiheshimu sijawahi kufanya ujinga , kosa ambalo pekee nililowahi kufanya ni la kumpenda mtu asiye sahihi kwenye maisha yangu.

Jamani awe mchapakazi yani jembe la kazi uwiii hapa naomba niandike nimesimama, jamani mimi ni mchapakazi, kazi nazofanya kuna wanaume hasa wa mkoa flani hawawezi, kiukweli mimi ni mchapakazi, kazini nimewahi kupewa zawadi mara mbili, yani napenda kufanya kazi ili tupate maendeleo.

Asiwe mpenda starehe pombe no, mashost shost na kampani ambazo hazileti maendeleo big nooooo

#Siyo kwamba huku sipendwi ila bado sijapata mtu mwenye sifa hizo.

#Kingine watu wengi walijua niko na mtu so bada ya kuachana ni kimya kimya kwa hiyo watu wanajua mimi ni mke wa mtu lakini ndo sirudi nyuma nikipata mtu naemweleWa akanielewa, hata arudi kwa magoti itakuwa ndo basi.
@Madam Hero ,vipi ulikuwa na ndoa na huyo Jamaa au mlianzia ndondo kwanza ?
 
Wivu usizidi kipimo, maisha kusaidiana bana, au umechelewa washamuwahi wenzako, siku Nyingine kuwa makini kuangalia nyuzi kama hizi,utakosa mengi kijana
Sina tena haja ya kuhangaika kwenye nyuzi kama hizi kutafuta tafuta. Sana sana labda nije kutoa ushauri tu.

Maana kwako ndio nataka nizime fegi nipandishe tinted kabisa nisione wengine
 
Una 27 umelia 4 yrs means uliolewa with 23 with bachelor na nyumba within such period of time in Tanzania system of education!!
Thanks very much
You are the hero.
 
Aisee...! Hapo kwenye Nyumba au kiwanja nimefeli,

Mfanyabiashara... Hapo pia nimefeli japo nina mpango wa kuacha ajira ili nijiajiri,

Vilivyobaki nmefiti, yaani hapa home nilipopanga naishi kama kivuli
 
Napenda sana awe mfanyabiashara either ameajiriwa na anayo biashara japo mimi ni muajiriwa kwani matajiri wote ni wafanyabiashara, hakuna mtu anaefanikiwa hasa kwa mshahara tu.
(Kama hana naweza mfikiria)
Elimu kuanzia angalau form four si mbaya ili tuende sawa mana mimi nina bachelor

Ukiwa na gari/kiwanja/nyumba si mbaya na kama hauna pia haina shida >mimi nina nyumba moja.


Umri 28-35 tutamatch vizuri tu mana mimi nina 27

Akiwa na mtoto siwezi kukasirika sana mana na mimi ninaye ila babake mtoto wangu kaona michepuko ina thamani kwake kuliko mke so nimemwacha aendelee nao, kuliko kuendelea kulia kila siku, nimelia miaka minne non stop so nimeamua kumtua.

Anayejiheshimu na kumpenda Mungu mana hata mimi najiheshimu sijawahi kufanya ujinga , kosa ambalo pekee nililowahi kufanya ni la kumpenda mtu asiye sahihi kwenye maisha yangu.

Jamani awe mchapakazi yani jembe la kazi uwiii hapa naomba niandike nimesimama, jamani mimi ni mchapakazi, kazi nazofanya kuna wanaume hasa wa mkoa flani hawawezi, kiukweli mimi ni mchapakazi, kazini nimewahi kupewa zawadi mara mbili, yani napenda kufanya kazi ili tupate maendeleo.

Asiwe mpenda starehe pombe no, mashost shost na kampani ambazo hazileti maendeleo big nooooo

#Siyo kwamba huku sipendwi ila bado sijapata mtu mwenye sifa hizo.

#Kingine watu wengi walijua niko na mtu so bada ya kuachana ni kimya kimya kwa hiyo watu wanajua mimi ni mke wa mtu lakini ndo sirudi nyuma nikipata mtu naemweleWa akanielewa, hata arudi kwa magoti itakuwa ndo basi.
Nakila kitu Ila napenda pombe hapo ndo umeniudhi mjingalo we
 
Aisee...! Hapo kwenye Nyumba au kiwanja nimefeli,

Mfanyabiashara... Hapo pia nimefeli japo nina mpango wa kuacha ajira ili nijiajiri,

Vilivyobaki nmefiti, yaani hapa home nilipopanga naishi kama kivuli
...naona pamekucha mkuu...
Pamekucha kwelikweli...
 
Mleta Mada Kwani We Upoje
Kibonge Sex Au Slim Shady
Mweupe Au Mweusi
Mrefu Au Mfupi
 
Back
Top Bottom