Huyu ndo mwanaume naemtaka

Huyu ndo mwanaume naemtaka

Braza huyu bibie mbona kama namfahamu aisee kwenye real life .... Kuna bibie kabwagana na mumuewe this year.... Jamaa alikuwa na mpunga kinyama... Ila alikuwa anachepuka wakagombana demu kafungua kesi mali wamegawana pasu kwa pasu.... Aiseee ...ni kweli alikuwa na nyumba somewhere in dsm halafu ana bachelor.... Wazee changamkieni changamkieni hii manzi she speak the truth

Mambo ya multiple IDs haya
 
Braza huyu bibie mbona kama namfahamu aisee kwenye real life .... Kuna bibie kabwagana na mumuewe this year.... Jamaa alikuwa na mpunga kinyama... Ila alikuwa anachepuka wakagombana demu kafungua kesi mali wamegawana pasu kwa pasu.... Aiseee ...ni kweli alikuwa na nyumba somewhere in dsm halafu ana bachelor.... Wazee changamkieni changamkieni hii manzi she speak the truth
Mmh umejuaje ndo mimi
 
Kama kila unachoshauri asikilizi manake atambui mana ya kuwa mwenzi wake
Wanaochambuaga saaaana kama madame nanii.... Huwa wanawapata wale wale .....kwa kuwa wanaojua kumendea wanaweza kujifanya kondooo ....ngoja afike zizini anamenya taratibu .....anatumbua madame kila LA kheri utampata usiyemuhitaji
 
Back
Top Bottom