mkuu acha kutupeperushia ndege

Sidangi na sijawahi kudanga, nina kazi ya maana inayonipa kula chochote na kuvaa kutunza mwanangu pia, nina nyumba yangu nilojenga mwenyewe, so sihitaji kumchuna mtu, ila aina ya mwanaume naemtaka ni fighter mwenye uchu na maendeleo ambaye tutafanya kazi pamoja na kufikia level flani ya maisha.Mmh mtoa mada, kwa hivyo vigezo ulivotoa, si useme tu kuwa unatafuta mwanaume wa kumchuna? Au useme kuwa unauza hiyo k*ma yako? bila shaka ww mtoa mada una undugu na hamisa mobeto maana c kwa udangaji huo Madam Hero
Nilivumilia mnooooo, mwisho wa siku naona hatari ya kufa kabla ya siku zangu
Mke ukiwa pasua kichwa ndani ya Ndoa - Ni lazima michepuko ikusaidie.
We unataka Mume au kusikilizwa?Sidangi na sijawahi kudanga, nina kazi ya maana inayonipa kula chochote na kuvaa kutunza mwanangu pia, nina nyumba yangu nilojenga mwenyewe, so sihitaji kumchuna mtu, ila aina ya mwanaume naemtaka ni fighter mwenye uchu na maendeleo ambaye tutafanya kazi pamoja na kufikia level flani ya maisha.
Hii ni kutokana na aina ya mwanaume niliekuwa nae, mbishi, ushauri wangu alikuwa hataki lakwake lakwake biashara anafungua anisikilizi siku mbili imekufa, mtaji unaisha, magari ananunua mabovu kwa watu namshauri usinunue asikilizi so kwa sasa nahitaji mwanaume anayejielewa sana tufanye maendeleo mana tungekuwa mbali

Kama kila unachoshauri asikilizi manake atambui mana ya kuwa mwenzi wakeWe unataka Mume au kusikilizwa?![]()
We unataka Mume au kusikilizwa?![]()
A husbandHata mm nlikuwa najiuliza huyu mtoa mada anataka mume au business partner? Phillipo njovu Madam Hero
Yeah she gotta be careful because there are big difference between real life and the InternetKila la kheri . ila tambua wapo wengine ni wasanii watajifanya wana sifa hizo mwisho wa siku wakishakula wanasepaa.
Asante kwa ushauri mzuriUkisubiri umpate mwenye sifa zote hizo uzitakazo nazani utasubiri sana tu mpaka umri utakutupa mkono
Thanks, got itYeah she gotta be careful because there are big difference between real life and the Internet
Kwaiy akiwa nazo izo sifa utamkubali awe mmeo au?A husband
Which region are you living currentlyThanks, got it