chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,112
- 1,492
Poleni sana kwa kazi nyingi za kutwa nzima.
Nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya wasemaji na viongozi wa vyama vya siasa, hususani hawa wanao jiita wapinzani.
Binafsi naamini siasa ni sera, siasa ni hoja, upinzani ni fikra tofauti za kimtazamo na sii vinginevyo.
HOJA: Sasa ikiwa kiongozi wa siasa anabaki kuwaombea wananchi mabaya, eti nchi inyimwe misaada ni sera ipi, hii ni hoja ipi kisiasa na inajenga vipi chama na wanachama??
ZAIDI: Je sisi tunaoshangilia tunapoombewa mabaya yatufike tunafahamu tunachokifanya?
Swali: Hakuna mpinzani mwenye unafuu, ? huyu ndo pee aliyebaki?? washabiki wake mjitafakari kungali mchana.
Nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya wasemaji na viongozi wa vyama vya siasa, hususani hawa wanao jiita wapinzani.
Binafsi naamini siasa ni sera, siasa ni hoja, upinzani ni fikra tofauti za kimtazamo na sii vinginevyo.
HOJA: Sasa ikiwa kiongozi wa siasa anabaki kuwaombea wananchi mabaya, eti nchi inyimwe misaada ni sera ipi, hii ni hoja ipi kisiasa na inajenga vipi chama na wanachama??
ZAIDI: Je sisi tunaoshangilia tunapoombewa mabaya yatufike tunafahamu tunachokifanya?
Swali: Hakuna mpinzani mwenye unafuu, ? huyu ndo pee aliyebaki?? washabiki wake mjitafakari kungali mchana.