Dogo namfahamu anasoma dsj yupo diploma aisee hongera yakeWiki hii nilibatika kufanya interview na Kijana mdogo anayejulikana kwa jina la Ally Chiwaga ni mkazi wa hapa Dar es Salaam..
Kijana huyu kwa wiki anaingiza elfu 70 kwa Biashara ya Karanga.. kiukwel ni ngumu kuamini ila huo ndo ukweli
Mtizame HAPA natumaini utajifunza mengi Sana kupitia Kijana huyu.
Duh una akili wewe sana... Gharama ya kutengeneza Karanga NI ndogo Sana Seema faida ni juu ukimsikiliza vizur anasema ndani ya wiki 2 aliweza kulipa ada ya laki3 ili afanye mtihaniSafi sana,Inapendeza.
lkn labda niulize kitu hiyo ni faida tupu
kwa maana ya kwamba gharama za uzalishaji
na kodi umetoa?
KumbeeDogo namfahamu anasoma dsj yupo diploma aisee hongera yake
marhaba...!!Kumbee
Comment za wahanga wa KuajiriwaBiashara yeyote kinadharia inalipa ila ingia mchezoni sasa uone balaa lake *****.
Comment za wahanga wa Kuajiriwa
Ivi kinaitwa tsj au dsj?Dogo namfahamu anasoma dsj yupo diploma aisee hongera yake
Babanza kwajura280000 kwa mwezi.....inafaa kuandikwa kweli?