Huyu ndiye yeye au anadanganya?

Desire Dizaya

JF-Expert Member
Feb 16, 2015
6,476
11,628
Nlimpenda sana baada ya kumuona kwenye ile movie ya kanumba ya lost twins..alivoigiza na mvuto wake.

Tulitarajia tungekuja kumuona kwenye movie nyingine lakini kimya.

Hata hivo sio vibaya ukimkumbuka na kupenda kumuona tena..kimbembe ni hapo nnapomuona tena baada ya miaka zaidi ya kumi aisee.

Wengi wakimwangalia wanadai sio yeye,ni mwanae au mdogo wake huyu.
Yeye kafariki miaka mingi.

Lakini yeye anakanusha hilo..na anakwreka na hizo shutuma za kuzushiwa kufa.
Maswali unayopata ukimwangalia

Inawezekana mdada mtu mzima kuwa na nyonga pana vile halafu urudi chini na kuwa kama mtoto anaekimbiza balehe?hata kama unafanya weight loss sio hivi.

Pia ni zaidi ya miaka kumi imepita tangu aigize ile movie..ukikadiria umri aliokya nao kipindi kile ni kama miaka 20+10 na zaidi=?

Vitu vinavyofanya niamini kuwa ni yeye ni jinsi alivo..sura ni ile ile.vidimpozi ni
She is above 18,utakutana nae anadrive kwenye shopping malls..
Mi hata sielewi

Screenshot_2019-04-08-15-42-14.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-40-51.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-36-53.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-36-41.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-36-11.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-35-41.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-34-33.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-32-42.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-31-00.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-32-15.jpeg
Screenshot_2019-04-08-15-31-40.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah!!...Hata hazeeki eti!!

Picha za zamani alikuwa mkubwa ila hizi za sasa kawa Mdogo then mwembamba ila dimpozi ni zile zile hazizeeki.

"Enough of No Love"
 
Back
Top Bottom