Jana nilisikia wimbo wa taifa ukiimba, nikakurupuka kutoka nje nilipokuwa naoga.......
Kufika tu nakuta Mkubwa anaanza kutoa hotuba zake kama kawaida....
NDUGU WANANCHI HIVI PUNDE TUMETOKA KUSHUHUDIA SHEREHE ZA MUUNGANO, KWAKWELI ZILIFANA SANA NA NAMPONGEZA PINDA KWA MAANDALIZI MAZURI, TOFAUTI NA MIAKA MINGINE TULIKUWA NA MAONYESHO YA MBWA, WALIKUWEPO WATU WALIOZALIWA MIAKA 45 ILIYOPITA WAKATI WA UHURU....... MARA SWEETHEART AKAKURUPUKA HUKO ULIKOKUWA "wewe twende tukalale unasikiliza upuuzi gani? Mwanaume badala ya kuongea vitu vya maana kama dhana nzima ya Muungano anasifia sherehe.........." TV IKAZIMWA........ SIKUJUA KILICHOENDELEA MWENYE POINTI/PUMBA ZAIDI anaweza kutuambia nini kiliongelewa????