mguu ndama
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 263
- 120
Ni umbea tu pelekeni ushaidi mahakamani sio kutuletea umbea huku jf.Story za Kwenye kahawa ndio hizi mnaongea mtadhani mnamaanaKama Ruge anasimamia ukweli atueleze uhusika wake na Kinje kuhusu yule aliyepasukiwa na madawa South Afrika! Nini kilimsababisha akaingia gharama kuhakikisha mwili unarudi na kituo chake kutoka coverage ile? Ruge ni vizuri ukanyamaza kuna Mengi wasiyoyajua WENGI JUU YAKO, UKIBISHANA SANA WATAYAANIKA ITAKUWA SHEEEDA!