Ruge amemwacha "bwana yule" mbali sana kifikra! Hata kama Ruge ni mtunga ngonjera, kuna haja gani ya kudharau hiyo kazi yake. Nakuhakikishia bwana yule, haendi mbali. Mwisho wake ulishafika na "karma" imeanza kumtafuna. Anajifanya kumjua mungu sana wakati anadharau na kwa hao hao watu wa Mungu. Na haya maneno yake ya kujikomba kwa Mungu mchana wakati usiku yupo kwa waganga ndo atajikuta anajenga Babel siku sio nyingi.
Big up sana Ruge kwa kuonyesha ukomavu na bwana yule hana uwezo wa kushindana na watu wenye weledi hata siku moja, mind at your passion brother!!