Kaka m nadhani ubongo wako umejaa maji ya chooni(kunradhi)rejea maazimio ya bunge kuwa rais atengue uwazi wa dalali muongo!!unataka kupingana na kauli ya bunge lenye wabunge 300 akiwemo na Waziri mkubwa??kama bunge liliridhia ina maana liliipokea taararifa ya PAC ambayo ilitoka takukuru na CAG.nikupe changamoto..muongo alifanganya kuhusu kijana mzalendo Mwanasheria wa Tanesco aliyetumwa kumchunguza singa !akasema hakutumwa...mbowe akaleta ushahidi...muongo sura ikawa fupiiii kama kisoda
Si wabunge wote walipitisha Kumbuka wale Wabunge wajanja wajanja hawakuwepo bungeni na hata kama walikuwepo walikaa kiimya , hilo Azimio lilipitishwa na Wabunge wa Kafulila ambao walikuwa wamepewa mashiko na Mengi.