muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,504
- 10,115
Ndio,hazina bado ipo.Kwahiyo binti huyu anaweza kuwa hajaanguka kwenye dhambi ya kuzini kabisa
Ndio,hazina bado ipo.Kwahiyo binti huyu anaweza kuwa hajaanguka kwenye dhambi ya kuzini kabisa
Ila tumekua wajinga sana yaani tunapongeza kila kitu kama mazwazwa, sasa kuna ajabu gani kwa mwanamke kurusha ndege? Kwani ndiye binti wa kwanza kurusha ndege? Duniani huko mabinti wa miaka 23 wanarusha ma Boeing na Airbus mbona hawajimwambafy? Tupunguze ujinga mwisho sasa tutaanza kusifia ujinga na kujifunua kua hatuna akili. By the way hizi mentality ndio zinachochea kinadada kujiona wanyonge mkijua mnawasaidia maana mnageuza kitu kidogo kua kikubwa mpaka na wengune wataogopa kuendea hizo fani kwa kuona ni za watu gifted. Tuache Ulimbukeni
Kwani shida nini mkuu???,Nimeuliza kuhusu kauso.Nasema uongo ndugu zangu?.Umeona USO Tu uliokomaa!??!! Sisi tunaangalia Uwezo na Ujuzi siyo Personality au Physical appearance ya Mtu.
Aisee kabisa,huyu rika langu.Mzee km umri gani? Dada kwa kukusia yupo kwenye middle 30's
Hapana anko tunasingiziwa tu sieNinyi ndiyo wale watata
Nasikia shughuli yenu siyo ya mchezoHapana anko tunasingiziwa tu sie
Nasikia shughuli yenu siyo ya mchezo
Mpe namba yangu ani diipuuuu!Ndiyo Aliyesukuma Dege Likiwa Na Mwili Wa Mpendwa Wetu Hayati JPM
Mko radhi mfe njaa kuliko kukubali kushindwa, eeh!
ni kwa sababu ya connection ya kukutana kimwili.Samson...ndiye alimpa power delila...utatoaje siri uliyopewa na Mungu?? ..... alijipa nuksi..mwenyewe kwa kumkaidi Mungu!
Ndiyo Aliyesukuma Dege Likiwa Na Mwili Wa Mpendwa Wetu Hayati JPM
What is so spesho about urubani!!?
hawa ni madereva tu
Hesabu za kugawanya tu huwezi; halafu unataka uwafananishe marubani na nyie ambao hata manual transmission vehicle hamuiondoi!!?What is so spesho about urubani!!?
hawa ni madereva tu