Huyu Ndio JK Bana!!!!!

obsesd

JF-Expert Member
Nov 23, 2011
1,225
525
hadi kufikia, tarehe 01 february 2012, Rais wa sasa wa Tanzania amesafiri mara 322 nje ya nchi. Ukizidisha io idadi ya tripu/safari (322) kwa wastani wa siku 4 kwa kila tripu/safari, utapata jumla ya siku 1288 ukizigawa kwa siku 365/366 (siku za mwaka mmoja) utapata miaka 3.5 (yaan miaka 3 na miezi 6) Rais amekaa nje ya mipaka ya Tanzania. Kwakuwa Rais JK ameingia madarakani mwaka 2005 na had sasa mwaka2012 amekaa madarakani kwa miaka 6. Kwaiyo Rais amekaa nje ya nchi zaidi ya nusu ya muda wake wote aliokaa katika nafasi ya urais(3.5 years out of 6 years).

je Raisi hajavunja rekodi ya kuingizwa katika guiness book of records ya dunia? yan Rais amekaa nje ya nchi yake kuliko marais wote wa dunia? Rais gan amemzidi Raisi wetu?

Je, tumepata jibu la kwanini Rais mara nyingi husaini nyaraka feki kwa sababu ya hukosefu wa muda wa kuzisoma?

GHARAMA!
Safari yake ya mwisho( safari ya 322) ya Davos 25-28 january 2012, iliigharimu serikali Tsh mil. 300, nikiamua kuchukua theluthi mbili ya gharama izo yaan mil 200, kisha nikazidisha kwa idadi ya tripu 322 jumla yake ni 64,400,000,ooo. Mabilioni haya ni mengi sana. Ukizigawa mil 50 ambazo ni bujeti ya kujenga zahanati moja kwa wastani utapata jumla ya zahanati 1288.
Kwakuwa Tanzania ina jumla ya kata 2011, fedha hizi zingetosheleza kuweka zaid ya 60%. Ikumbukwe kuwa Tanzania wanawake wajawazito kati ya 24-36 kwa siku wanakufa kwasababu kadhaa ikiwemo ya kutokuwepo kwa zahanati au ziko mbali
Tafakari mtanzania chukua hatua.
 
Duh, asee kweli kilogikale logikale.., yaani kweli tupu chala'angu.., Ndo matatizo ya urahisi wa kupeana, leo bara kesho pemba..
Gademu...:smash:
 
Uchambuzi mzuri , scientific na ni ukweli. Dr Slaa alishasema JK ni janga la Taifa na sasa ndio tunashuhudia!!
 
Kazi Kweli Kweli.

Karibu nusu ya muda wake madarakani yupo nje anakula nchi. Kweli huyu ndiyo Jakaya Mrisho Kikwete.
 
Truely you are a great thinker dada.

Duh, tusione ajabu yoyote kwamba hivi sasa mambo hayaendi kiasi hiki nchini. Kama rais anaweza akaishi nje ya nchi kwa wastani wa miaka 3.5 sasa mtu unategemea kuona kukitokea muujiza gani maendeleo nchini?
 
Truely you are a great thinker dada.

Duh, tusione ajabu yoyote kwamba hivi sasa mambo hayaendi kiasi hiki nchini. Kama rais anaweza akaishi nje ya nchi kwa wastani wa miaka 3.5 sasa mtu unategemea kuona kukitokea muujiza gani maendeleo nchini?

hadi kufikia, tarehe 01 february 2012, Rais wa sasa wa Tanzania amesafiri mara 322 nje ya nchi.

Ukizidisha io idadi ya tripu/safari (322) kwa wastani wa siku 4 kwa kila tripu/safari, utapata jumla ya siku 1288 ukizigawa kwa siku 365/366 (siku za mwaka mmoja) utapata miaka 3.5 (yaan miaka 3 na miezi 6) Rais amekaa nje ya mipaka ya Tanzania.

Kwakuwa Rais JK ameingia madarakani mwaka 2005 na had sasa mwaka2012 amekaa madarakani kwa miaka 6. Kwaiyo Rais amekaa nje ya nchi zaidi ya nusu ya muda wake wote aliokaa katika nafasi ya urais(3.5 years out of 6 years).

je Raisi hajavunja rekodi ya kuingizwa katika guiness book of records ya dunia? yan Rais amekaa nje ya nchi yake kuliko marais wote wa dunia? Rais gan amemzidi Raisi wetu?

Je, tumepata jibu la kwanini Rais mara nyingi husaini nyaraka feki kwa sababu ya hukosefu wa muda wa kuzisoma?

GHARAMA!

Safari yake ya mwisho( safari ya 322) ya Davos 25-28 january 2012, iliigharimu serikali Tsh mil. 300, nikiamua kuchukua theluthi mbili ya gharama izo yaan mil 200, kisha nikazidisha kwa idadi ya tripu 322 jumla yake ni 64,400,000,ooo.

Mabilioni haya ni mengi sana. Ukizigawa mil 50 ambazo ni bujeti ya kujenga zahanati moja kwa wastani utapata jumla ya zahanati 1288. Kwakuwa Tanzania ina jumla ya kata 2011, fedha hizi zingetosheleza kuweka zaid ya 60%.

Ikumbukwe kuwa Tanzania wanawake wajawazito kati ya 24-36 kwa siku wanakufa kwasababu kadhaa ikiwemo ya kutokuwepo kwa zahanati au ziko mbali.

Tafakari mtanzania chukua hatua.
 
hadi kufikia, tarehe 01 february 2012, Rais wa sasa wa Tanzania amesafiri mara 322 nje ya nchi. Ukizidisha io idadi ya tripu/safari (322) kwa wastani wa siku 4 kwa kila tripu/safari, utapata jumla ya siku 1288 ukizigawa kwa siku 365/366 (siku za mwaka mmoja) utapata miaka 3.5 (yaan miaka 3 na miezi 6) Rais amekaa nje ya mipaka ya Tanzania. Kwakuwa Rais JK ameingia madarakani mwaka 2005 na had sasa mwaka2012 amekaa madarakani kwa miaka 6. Kwaiyo Rais amekaa nje ya nchi zaidi ya nusu ya muda wake wote aliokaa katika nafasi ya urais(3.5 years out of 6 years).

je Raisi hajavunja rekodi ya kuingizwa katika guiness book of records ya dunia? yan Rais amekaa nje ya nchi yake kuliko marais wote wa dunia? Rais gan amemzidi Raisi wetu?

Je, tumepata jibu la kwanini Rais mara nyingi husaini nyaraka feki kwa sababu ya hukosefu wa muda wa kuzisoma?

GHARAMA!
Safari yake ya mwisho( safari ya 322) ya Davos 25-28 january 2012, iliigharimu serikali Tsh mil. 300, nikiamua kuchukua theluthi mbili ya gharama izo yaan mil 200, kisha nikazidisha kwa idadi ya tripu 322 jumla yake ni 64,400,000,ooo. Mabilioni haya ni mengi sana. Ukizigawa mil 50 ambazo ni bujeti ya kujenga zahanati moja kwa wastani utapata jumla ya zahanati 1288.
Kwakuwa Tanzania ina jumla ya kata 2011, fedha hizi zingetosheleza kuweka zaid ya 60%. Ikumbukwe kuwa Tanzania wanawake wajawazito kati ya 24-36 kwa siku wanakufa kwasababu kadhaa ikiwemo ya kutokuwepo kwa zahanati au ziko mbali
Tafakari mtanzania chukua hatua.

Sina hakika na figures lakini hii approach ya kukokotoa namba namna hii naipenda sana. Namba zinaweza kumulika tuyaone haya mambo kwa wazi zaidi.
 
Muuza sura aka bishoo aka sharobaro aka kilaza aka zero brain aka hajui lolote la maana la kuisaidia nchi..hivi misheni yake b4 kuukwaa uprzdaaa ilikuwa ipi,
 
Nina wasi wasi JK anashikilia nafasi mbili za uongozi at once!!!! yaan Waziri wa mambo ya nje (cheo alichokuwa nacho awali) na Uraisi wa nchi
 
hadi kufikia, tarehe 01 february 2012, Rais wa sasa wa Tanzania amesafiri mara 322 nje ya nchi. Ukizidisha io idadi ya tripu/safari (322) kwa wastani wa siku 4 kwa kila tripu/safari, utapata jumla ya siku 1288 ukizigawa kwa siku 365/366 (siku za mwaka mmoja) utapata miaka 3.5 (yaan miaka 3 na miezi 6) Rais amekaa nje ya mipaka ya Tanzania. Kwakuwa Rais JK ameingia madarakani mwaka 2005 na had sasa mwaka2012 amekaa madarakani kwa miaka 6. Kwaiyo Rais amekaa nje ya nchi zaidi ya nusu ya muda wake wote aliokaa katika nafasi ya urais(3.5 years out of 6 years).

je Raisi hajavunja rekodi ya kuingizwa katika guiness book of records ya dunia? yan Rais amekaa nje ya nchi yake kuliko marais wote wa dunia? Rais gan amemzidi Raisi wetu?

Je, tumepata jibu la kwanini Rais mara nyingi husaini nyaraka feki kwa sababu ya hukosefu wa muda wa kuzisoma?

GHARAMA!
Safari yake ya mwisho( safari ya 322) ya Davos 25-28 january 2012, iliigharimu serikali Tsh mil. 300, nikiamua kuchukua theluthi mbili ya gharama izo yaan mil 200, kisha nikazidisha kwa idadi ya tripu 322 jumla yake ni 64,400,000,ooo. Mabilioni haya ni mengi sana. Ukizigawa mil 50 ambazo ni bujeti ya kujenga zahanati moja kwa wastani utapata jumla ya zahanati 1288.
Kwakuwa Tanzania ina jumla ya kata 2011, fedha hizi zingetosheleza kuweka zaid ya 60%. Ikumbukwe kuwa Tanzania wanawake wajawazito kati ya 24-36 kwa siku wanakufa kwasababu kadhaa ikiwemo ya kutokuwepo kwa zahanati au ziko mbali
Tafakari mtanzania chukua hatua.

Kama statistic zilizowekwa hapa ni kweli basi ni hatari tupu...aah hayo mengine tuwaachie watanzania waamue ndugu yangu.
 
Natamani magazeti ya Shigongo ya Uwazi na Ijumaa yangekuwa yana qoute mambo kama haya uliyo ya Dadavua ,kwani sasa gutter press kama za shigongo ndio zinazosomwa na wapiga kura wengi wa CCM na ndio waliomchagua muheshimiwa wetu Raisi Mtukufu Jakaya Mrisho Kikwete
Just imagine Front page ya Uwazi imewekwa picha ya kizushi mkulu wa nchi anashuka ktk Jet ya alafu pembeni kuna Title JK ktk ziara yake ya 322.
najua anayasoma haya magazeti,labda ujumbe ungemfikia na kuwa na imani na watanzania wenzake, kwani kwa rasilimali tulizonazo yeye haitaji kusafiri,wazungu wenyewe wanakuja na wachina
hadi kufikia, tarehe 01 february 2012, Rais wa sasa wa Tanzania amesafiri mara 322 nje ya nchi. Ukizidisha io idadi ya tripu/safari (322) kwa wastani wa siku 4 kwa kila tripu/safari, utapata jumla ya siku 1288 ukizigawa kwa siku 365/366 (siku za mwaka mmoja) utapata miaka 3.5 (yaan miaka 3 na miezi 6) Rais amekaa nje ya mipaka ya Tanzania. Kwakuwa Rais JK ameingia madarakani mwaka 2005 na had sasa mwaka2012 amekaa madarakani kwa miaka 6. Kwaiyo Rais amekaa nje ya nchi zaidi ya nusu ya muda wake wote aliokaa katika nafasi ya urais(3.5 years out of 6 years).

je Raisi hajavunja rekodi ya kuingizwa katika guiness book of records ya dunia? yan Rais amekaa nje ya nchi yake kuliko marais wote wa dunia? Rais gan amemzidi Raisi wetu?

Je, tumepata jibu la kwanini Rais mara nyingi husaini nyaraka feki kwa sababu ya hukosefu wa muda wa kuzisoma?

GHARAMA!
Safari yake ya mwisho( safari ya 322) ya Davos 25-28 january 2012, iliigharimu serikali Tsh mil. 300, nikiamua kuchukua theluthi mbili ya gharama izo yaan mil 200, kisha nikazidisha kwa idadi ya tripu 322 jumla yake ni 64,400,000,ooo. Mabilioni haya ni mengi sana. Ukizigawa mil 50 ambazo ni bujeti ya kujenga zahanati moja kwa wastani utapata jumla ya zahanati 1288.
Kwakuwa Tanzania ina jumla ya kata 2011, fedha hizi zingetosheleza kuweka zaid ya 60%. Ikumbukwe kuwa Tanzania wanawake wajawazito kati ya 24-36 kwa siku wanakufa kwasababu kadhaa ikiwemo ya kutokuwepo kwa zahanati au ziko mbali
Tafakari mtanzania chukua hatua.
 
Uchambuzi wako una kina cha kutosha, na hapo umetupa ufahamu zaidi wengi ambao hatukuweza kupata picha muda gani rais amekuwa nchini na muda gani ameishi nje ya nchi.

Utaratibu wa kuwa na Wizara ya nchi za nje na balozi za Tanzania nje ya nchi ni kwa sababu ya kufanya kiongozi wa nchi atulie nchini na kufanya majukumu yake ipasavyo, sasa kwa takwimu za uchambuzi huu nusu ya muhula huwa yuko nje ya nchi, hii ni hatari sana katika uongozi na ni udhaifu usio kifani. Nashindwa kuendelea kuongeza hisiia zangu msije mikaniona nimemkosea heshima kiogozi wa nchi.

Kwa hali ilivyo Rais anaingilia majukumu ya aliowaaminisha kutuwakilisha Waziri wa nchi za nje na balozi zetu, maana yake watu hao wako tu kutalaa na kula kuku kwa mrija maana kazi waliyopaswa kufanya inafanya na Rais mwenyewe.
 
Nina wasi wasi JK anashikilia nafasi mbili za uongozi at once!!!! yaan Waziri wa mambo ya nje (cheo alichokuwa nacho awali) na Uraisi wa nchi


Jambo nina hakika nalo maana si kawaida nasafari zake au hamwamini Membe so inabisi awe naye hapa na hapa , maana Membeanautaka u rais na wanajuana michezo yaowaliyo fanya huko nyuma .
 
Bongo joto kali, Mzee anaogopa ngozi yake itababuka anaenda kupata upepo kidogo
 
sio noma kaka , hali inatisha yan mabilioni ya fedha ambayo yangetumika kufanya vitu vya maana yanatumika ovyo tuu yan na raisi wetu kwa safari zake zingine zisizo na sura wala mgongo inauma yan mmh!
 
kibaya nw tunatawaliwa bora liende yan! coz anajua kabisa kuwa amekwisha fail na kujiuzurii hawezii ni ishu nyingine ivyo tunapelekwa pelekwa tu ili mradi kipindi chake kimalizike. kwa ninavyomuona anatamani io 2015 iwe hata kesho yan mmh ili hajiondokee baada ya kutufanyia ndivyo sivyo ipasavyo.
 
Uchambuzi wako una kina cha kutosha, na hapo umetupa ufahamu zaidi wengi ambao hatukuweza kupata picha muda gani rais amekuwa nchini na muda gani ameishi nje ya nchi.

Utaratibu wa kuwa na Wizara ya nchi za nje na balozi za Tanzania nje ya nchi ni kwa sababu ya kufanya kiongozi wa nchi atulie nchini na kufanya majukumu yake ipasavyo, sasa kwa takwimu za uchambuzi huu nusu ya muhula huwa yuko nje ya nchi, hii ni hatari sana katika uongozi na ni udhaifu usio kifani. Nashindwa kuendelea kuongeza hisiia zangu msije mikaniona nimemkosea heshima kiogozi wa nchi.

Kwa hali ilivyo Rais anaingilia majukumu ya aliowaaminisha kutuwakilisha Waziri wa nchi za nje na balozi zetu, maana yake watu hao wako tu kutalaa na kula kuku kwa mrija maana kazi waliyopaswa kufanya inafanya na Rais mwenyewe.



umeona enh sasa huu ni upuuzi jaman na ni matumizi mabaya ya pesa za serikali!
yan nataman kufanya kitu ila nways , time will tell tuwaache tu muda wao utafika.
 
Back
Top Bottom