Huyu Ndio JK Bana!!!!!

Muuza sura aka bishoo aka sharobaro aka kilaza aka zero brain aka hajui lolote la maana la kuisaidia nchi..hivi misheni yake b4 kuukwaa uprzdaaa ilikuwa ipi,

Mission yake ilikuwa ni kuukwaa uprzdaaaaa na marupurupu yanayoendana na nafasi hiyo.
 
Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii. Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.


Una hoja ya msingi. Unaonaje ukiweka hizo data ili tuweze kuona na upande wa pili wa shilingi - yaani kiasi kilichopatikana kutokana na safari za rais, investment alizofanikiwa kuleta kutokana na safari zake, ajira zilizopatikana, kodi iliyokusanywa na iliyosamehewa kutokana na hizo safari.

Ili kukamilisha zaidi uchambuzi wako utueleze kwa kina ni kwa nini awe ni yeye tu ndiye anaenda badala ya kutumia mabalozi, waziri wa mambo ya nje, Tanzania Investment Center na vyombo vingine vya serikali ambavyo vimeundwa kwa shughuli hizo za kutafuta wawekezaji. Pia utueleze huo muda wote aliotumia nje ya nchi ni nani hasa aliyekuwa akitekeleza majukumu yake ya URAIS wa nchi ambayo ndiyo aliyochaguliwa kuyatekeleza?
 
Una hoja ya msingi. Unaonaje ukiweka hizo data ili tuweze kuona na upande wa pili wa shilingi - yaani kiasi kilichopatikana kutokana na safari za rais, investment alizofanikiwa kuleta kutokana na safari zake, ajira zilizopatikana, kodi iliyokusanywa na iliyosamehewa kutokana na hizo safari.

Ili kukamilisha zaidi uchambuzi wako utueleze kwa kina ni kwa nini awe ni yeye tu ndiye anaenda badala ya kutumia mabalozi, waziri wa mambo ya nje, Tanzania Investment Center na vyombo vingine vya serikali ambavyo vimeundwa kwa shughuli hizo za kutafuta wawekezaji. Pia utueleze huo muda wote aliotumia nje ya nchi ni nani hasa aliyekuwa akitekeleza majukumu yake ya URAIS wa nchi ambayo ndiyo aliyochaguliwa kuyatekeleza?
loh! asante mkuu kwa huu upembuzi yakinifu kwa mwenzetu GB!
Atatuelewa tu tuendelee kumuelewesha iv iv!
 
hadi kufikia, tarehe 01 february 2012, Rais wa sasa wa Tanzania amesafiri mara 322 nje ya nchi. Ukizidisha io idadi ya tripu/safari (322) kwa wastani wa siku 4 kwa kila tripu/safari, utapata jumla ya siku 1288 ukizigawa kwa siku 365/366 (siku za mwaka mmoja) utapata miaka 3.5 (yaan miaka 3 na miezi 6) Rais amekaa nje ya mipaka ya Tanzania. Kwakuwa Rais JK ameingia madarakani mwaka 2005 na had sasa mwaka2012 amekaa madarakani kwa miaka 6. Kwaiyo Rais amekaa nje ya nchi zaidi ya nusu ya muda wake wote aliokaa katika nafasi ya urais(3.5 years out of 6 years).

je Raisi hajavunja rekodi ya kuingizwa katika guiness book of records ya dunia? yan Rais amekaa nje ya nchi yake kuliko marais wote wa dunia? Rais gan amemzidi Raisi wetu?

Je, tumepata jibu la kwanini Rais mara nyingi husaini nyaraka feki kwa sababu ya hukosefu wa muda wa kuzisoma?

GHARAMA!
Safari yake ya mwisho( safari ya 322) ya Davos 25-28 january 2012, iliigharimu serikali Tsh mil. 300, nikiamua kuchukua theluthi mbili ya gharama izo yaan mil 200, kisha nikazidisha kwa idadi ya tripu 322 jumla yake ni 64,400,000,ooo. Mabilioni haya ni mengi sana. Ukizigawa mil 50 ambazo ni bujeti ya kujenga zahanati moja kwa wastani utapata jumla ya zahanati 1288.
Kwakuwa Tanzania ina jumla ya kata 2011, fedha hizi zingetosheleza kuweka zaid ya 60%. Ikumbukwe kuwa Tanzania wanawake wajawazito kati ya 24-36 kwa siku wanakufa kwasababu kadhaa ikiwemo ya kutokuwepo kwa zahanati au ziko mbali
Tafakari mtanzania chukua hatua.

Mwalimu wako wa hesabu (Calculus) akiona hizi assumption zako! Atakukana kuwa ulisomesha na yeye namba.
 
Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii. Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.

Kweli kuna watu wana akili ya panzi!
1. Kwani alikwenda kufanya biashara gani hadi ipatikane fedha?
2. Investment karibu yote iliyowekwa nchini ni ya kifisadi. Kilichoporwa nchini ni kikubwa kuliko kilichowekezwa!
3. Nchi imekuwa maskini zaidi na watu wananyanyasika zaidi kwa mafisadi kupora ardhi ya wakulima!
4. Nchi imeishia kupata mrahaba wa asilimia 3 katika sekta ya madini na katika maeneo mengine hakuna kitu kilichopatikana kwa kuwa wamekuwa wakibadili majina ya makampuni yao au kuuziana wenyewe kwa wenyewe kukwepa kodi.

Habari ndiyo hiyo! Marais wenzake wametulia nchini kwao kushughulikia kero za wananchi wao wetu anauza picha katika vyombo vya habari vya kimataifa!
Sasa jadili
 
Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii. Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.

Kweli kuna watu wana akili ya panzi!
1. Kwani alikwenda kufanya biashara gani hadi ipatikane fedha?
2. Investment karibu yote iliyowekwa nchini ni ya kifisadi. Kilichoporwa nchini ni kikubwa kuliko kilichowekezwa!
3. Nchi imekuwa maskini zaidi na watu wananyanyasika zaidi kwa mafisadi kupora ardhi ya wakulima!
4. Nchi imeishia kupata mrahaba wa asilimia 3 katika sekta ya madini na katika maeneo mengine hakuna kitu kilichopatikana kwa kuwa wamekuwa wakibadili majina ya makampuni yao au kuuziana wenyewe kwa wenyewe kukwepa kodi.

Habari ndiyo hiyo! Marais wenzake wametulia nchini kwao kushughulikia kero za wananchi wao wetu anauza picha katika vyombo vya habari vya kimataifa!
Sasa jadili


 
Bravo Obsesd! wala haihitaji elimu ya chuo kuona hasara tuipatayo. Hali yetu, kupanda kwa hali ya maisha, uchumi hafifu, kuchupa kwa tofauti ya shilingi na dollar, mfumuko wa bei za bidhaa mbali mbali, wabunge kung'ang'ania posho kubwa kwa mteremko, kuongezeka kwa deni la taifa, kupungua kwa ruzuku toka serikalini kusaidia taasisi mbali mbali. Ni uthibitisho kuwa tuko pabaya na tunakokwenda ndo hakufai zaidi.
Geniusbrain anaonyesha wazi kuwa jina lake alipewa na yule bingwa wa reverse!
 
Dada nashukuru sana,

sasa angalia na ziara zake za ndani ambazo hazina tija, angalia ziara za mawaziri ambazo hazimsaidii mtanzania, angalia ufisadi unaofanyika wizara na idara zote za serikali, piga hesabu halafu niambie ni wapi Dr wa Ukweli Slaa alipokosea kusema Elimu na Afya Bure Tanzania vinawezekana.
 
Huyu ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hana majukumu ya kumbana kwa kuwa nchi hizi mbili (Tanganyika na Zanzibar) zinapaswa kuwa na maraisi wao - Zanzibar wanaye. Ndo maana mambo mengi anadelegate kwa mawazili. Sioni sababu ya kumlaum JK; nawalaum Watanganyia kwa kutodai uchaguzi ili wampate rais wao ambaye atakuwa mwakilishi wao kwenye vikao vya Muungano ambapo JK ndo atakuwa mkuu wa vikao vya Muungano. NISOMEKE HIVYO!
 
Dada nashukuru sana,

sasa angalia na ziara zake za ndani ambazo hazina tija, angalia ziara za mawaziri ambazo hazimsaidii mtanzania, angalia ufisadi unaofanyika wizara na idara zote za serikali, piga hesabu halafu niambie ni wapi Dr wa Ukweli Slaa alipokosea kusema Elimu na Afya Bure Tanzania vinawezekana.

Hesabu ni logic, viongozi wengi wa serikali tuliyonayo sina uhakika kama wanajua hesabu; wao wanawaza kukwapua mali ya Umma tu!
 
Dada nashukuru sana,

sasa angalia na ziara zake za ndani ambazo hazina tija, angalia ziara za mawaziri ambazo hazimsaidii mtanzania, angalia ufisadi unaofanyika wizara na idara zote za serikali, piga hesabu halafu niambie ni wapi Dr wa Ukweli Slaa alipokosea kusema Elimu na Afya Bure Tanzania vinawezekana.
Nakwambia ndugu yangu huyu Bwana Raisi na chama chake CCM hadi waondoke madarakani sijui nchi hii itakuwa wapi???? Maanake kila kukicha anabuni mbinu mpya ya kufilisi nchi kama sie yeye basi ni watu wake kufilisi nchi kwa kwenda mbele, la maana hatulioni!!!!Makampuni ya mufilisi kibao na umeme wao wa diesel na magenerator IPTL,SYMBION POWER,SONGAS, malipo ya capacity charge Tshs 156,000,000/= kila siku sijui hadi lini??? Dhahabu, Tanzanite wanachukua bila kulipa ushuru kila siku sijui itakuwa hivyo hadi lini???
 
Huyu ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hana majukumu ya kumbana kwa kuwa nchi hizi mbili (Tanganyika na Zanzibar) zinapaswa kuwa na maraisi wao - Zanzibar wanaye. Ndo maana mambo mengi anadelegate kwa mawazili. Sioni sababu ya kumlaum JK; nawalaum Watanganyia kwa kutodai uchaguzi ili wampate rais wao ambaye atakuwa mwakilishi wao kwenye vikao vya Muungano ambapo JK ndo atakuwa mkuu wa vikao vya Muungano. NISOMEKE HIVYO!
Hiyo haisaidii manake ataendelea kuwa mkubwa wao na mufilisi ni pale pale!!!

 
Ileje!
Wengine hata hata panzi anawazidi akili; ona hii;
Yeye akienda nje anarudi na vyandarua,
Wenzake wakija kwetu wanaondoka na dhahabu!
 
Hiyo haisaidii manake ataendelea kuwa mkubwa wao na mufilisi ni pale pale!!!


Ndg! itasaidia; kuna mambo ambayo hatakuwa na majukumu ya moja kwa moja kuyafanya (Rais wa jamhuri) kama ilivyo kwa Zanzibar ambapo wanafanya mambo mengine mengi tu pasipo kumhusisha JK na serikali yake.
 
Back
Top Bottom