Huyu ndie Padre aliyeuawa Zanzibar

hakuna dini inayobariki mauwaji kama hayo si uislamu wala dini yoyote ile,kama walimuuwa ni ubara na uzanzibari ndio umetumika lakini chini ya kivuli cha dini kwa kuwa wauwaji labda ni khamisi na makame!!!!
mtume s.a.w aliishi kwa wema na yahudi wa madina alifanya nao biashara bali aliwahakikishia ulinzi na maisha bora walipokubaliana kimasharti,hakuuwa mwanamke wala mtoto wala mzee,na hakuuwa mtu yoyote nje ya vita au ndani ya vita huku hajabeba silaha!!!
huu si uislamu wala hawa wauwaji si waislamu wana agenda zao nyengine
mkuu mimi na wewe tunaelewana lugha
 
Watanzania mjilaumu wenyewe kwa matukio mabaya yanayoendelea nchini kwa sasa!! Serikali ya ccm haikuingia mstuni na kutwaa madaraka bali mliipa kura kwa ushabiki wenu wenyewe!!! Hiyo ndiyo kasi mpya... na ndiyo madhara ya kupiga kura kama vipofu!!

Huwa siwapendi watu mnao jikana kuwa Watanzania......sijui unaongea kama mtu wa wapi
 
hakuna dini inayobariki mauwaji kama hayo si uislamu wala dini yoyote ile,kama walimuuwa ni ubara na uzanzibari ndio umetumika lakini chini ya kivuli cha dini kwa kuwa wauwaji labda ni khamisi na makame!!!!
mtume s.a.w aliishi kwa wema na yahudi wa madina alifanya nao biashara bali aliwahakikishia ulinzi na maisha bora walipokubaliana kimasharti,hakuuwa mwanamke wala mtoto wala mzee,na hakuuwa mtu yoyote nje ya vita au ndani ya vita huku hajabeba silaha!!!
huu si uislamu wala hawa wauwaji si waislamu wana agenda zao nyengine


Ndugu yangu tungesubiri uchunguzi kwani hata Mola kapinga dhana bila ushahidi!
 
hakuna dini inayobariki mauwaji kama hayo si uislamu wala dini yoyote ile,kama walimuuwa ni ubara na uzanzibari ndio umetumika lakini chini ya kivuli cha dini kwa kuwa wauwaji labda ni khamisi na makame!!!!
mtume s.a.w aliishi kwa wema na yahudi wa madina alifanya nao biashara bali aliwahakikishia ulinzi na maisha bora walipokubaliana kimasharti,hakuuwa mwanamke wala mtoto wala mzee,na hakuuwa mtu yoyote nje ya vita au ndani ya vita huku hajabeba silaha!!!
huu si uislamu wala hawa wauwaji si waislamu wana agenda zao nyengine

uamusho ni waislam au ni watu wengine?
 
hakuna dini inayobariki mauwaji kama hayo si uislamu wala dini yoyote ile,kama walimuuwa ni ubara na uzanzibari ndio umetumika lakini chini ya kivuli cha dini kwa kuwa wauwaji labda ni khamisi na makame!!!!
mtume s.a.w aliishi kwa wema na yahudi wa madina alifanya nao biashara bali aliwahakikishia ulinzi na maisha bora walipokubaliana kimasharti,hakuuwa mwanamke wala mtoto wala mzee,na hakuuwa mtu yoyote nje ya vita au ndani ya vita huku hajabeba silaha!!!
huu si uislamu wala hawa wauwaji si waislamu wana agenda zao nyengine

Naogopa tu MODS watanirudisha nilikokuwa kwa miezi miwili sababu ya kusema maneno ya haki. Labda tu nikuulize swali moja; Yule Sheikh Ilunga huwa anahutubia Wakristo au Waislamu?

Abu Afak, a man of great age (reputedly 120 years) was killed because he lampooned Mohammad. The deed was done by Salem b. 'Omayr at the behest of the Prophet, who had asked, "Who will deal with this rascal for me?" The killing of such an old man moved a poetess, Asma b. Marwan, to compose disrespectful verses about the Prophet, and she too was assassinated.

Thank you Jesus that you didn't kill anyone who disrespect you. Sijui wangekuwa wapi Mafarisayo na Waandishi, na wake zao na watoto zao.
 
................Damu ya Baba Paroko haitapotea bure.... KIsasi cha MUNGU ni hatari..... Damu hii itawatafuna wengi na pia kuleta misukosuko kwa viongozi walioko madarakani wasiochukua hatua kali dhidi uovu wa aina hii...R. I. P. BABA PAROKO
 
Jk mwema machozi yetu mikononi mwenu nchi yetu mikononi mwenu mnajali pesa kujitajirisha kumbukeni sisi ni udongo na hatuendi na mali tunarudi kwenye tumbo la ardhi kama tulivyotoka tumboni mwa mama zetu ole wemu watawala msiotenda hukumu za haki
 
Ole wangu mimi nilifanya ujinga kwa kuambatana na watu wa dunia ona leo wote wameniacha ama kweli dunia ni mti mkavu


Japo sulutani japo ni mtumwa mungu atamwita ikiwa saa yake leo mnacheka mmawakandamiza wananchi yawapasa kujua dunia si mali yenu wote tunapita tu.
 
Mimi sijui hawa islam wana tatizo gani wapiganie nafsi zao hawa vp jamani
 
Back
Top Bottom