Wakuu,
Hivi karibuni shirika limeleta bosi mzungu mwanamke, ana utu na Upendo sana, na ni mchangamfu sana, lakini zaidi ya yote ni mzuri sana kwao ni mexico sasa sijajua wa Mexico pia ni wazungu au la.Ana wowowo na umbo namba nane nywele nyeusiii hadi mgongoni, kwa kweli ni mzuri hakuna lugha ya kutumia nikaeleweka.
Sasa nimebahatika kuwa karibu nae sana, maana ndie immediate boss wangu kwa sasa ameletwa kwa mkataba wa miaka mitatu, mm ndie nilimtafutia nyumba ya kukaa, na weekend ananiita tushinde wote kwake maana kampani, nimekua nikimpeleka sehem mbali mbali mfano bagamoyo, na pia ana nia ya kupaona Zanzibar hivi karibuni katika weekend zijazo.
Last weekend tulienda Bagamoyo tukaogelea kwenye fukwe za huko, kwa kweli nilisisimka mno kwa mguso wake majini, lile wowowo likinigusa mbele kunatengeneza muinuko nalazimika kumkwepa hadi hali itulie, kwa kweli ukituona unaweza kusema ni wapenzi.
Kazini watu wameanza kunitazama kwa jicho la husda kwa ukaribu tulio nao, wengine wameenda mbali zaidi wakiambiana jean ameshalamba yule mmexico kumbe wapi.
Sasa wakuu mnaonaje nijilipue tu nimwambie nampenda awe wangu? Maana naogopa nisije nikataja mambo ya mapenzi kumbe yeye hayupo huko, sababu juzi nimemsikia akiongea kwa simu alipomaliza akaniambia alikua anaongea na boyfriend wake alieko marekani nikawa mnyonge.
Sasa sijui akinikataa itakuaje, ila akinikubali nitakua nimelamba bingo maana kifedha pia yupo vizuri, natumwa ku change dollar kila mara, na sasa hivi Mara chache sana natumia gharama zangu, sababu hata tukitoka kazini nakua nae hadi mibaya ndo narudi kwangu, tunakua kwenye coffee shops na pub mbalimbali.
Dah niko njia panda aisee, Mungu anisaidie tu nipate nguvu za kumwambia hatimae nimpate niachane na lile jianamke linalonifuatilia kila siku
Wadau ushauri
He he hee unamaanisha huyo mmarekani na huyu wa bongo wote 'maboy'!?
Wabongo bwana! Si ameshasema ana boyfriend unataka nini sasa. Ukianza mambo yako utaharibu friendship yenu na kama ulivyosema she's your immediate boss so if she rejects you, be prepared for endless awkwardness at the office. Fanya kazi tu maana ndio kilichokupeleka wewe na yeye pale.
acha kabisa mkuu mm ilishawahi kunitokea puani, weupe ni social sana ila si kwenye mapenzi, ni vigumu sana kuchit kama ana mtu tayari,
ushauri: mkienda swimming dushe likiinuka usijifiche anaweza kukuonea huruma.
Sio haraka haraka hivyo peaneni nafasi kidogo kama mnapendani mtajikuta automatically mmekuwa wapenzi.hayo mambo ya kumtongoza acha kabisa
Miaka ya nyuma kitambo, vijana 5 tulipelekwa kusoma chuo kimoja nchini Canada, pale chuoni kulikuwa na tawi la benki, kila tukienda benki tukiwa kwenye foleni, tunapomkaribia teller, walikuwa wanatoa tabasamu la nguvu likifuatiwa na maneno "Hi, can I help you". Sasa bwana waswahili tukaanza kufikiri kwamba watoto wa kizungu wanatumaindi, kumbe bwana kwao ilikuwa "Customer reception" Wabongo bwana!!!!!!!
hahaha angalia ussije ukakosa vyote maana unataka kutema bigji kwa karanga za kuonjeshwa
nyie wanaume cjui mpoje
jifunze style za kumchinja kobe ukimtongoza tuu unapewa za uso ila mlie tyming tuu
Anaye boyfriend wake .. Sema kama ni kupiga unaweza lakini si maswala ya future. Si kila demu unatongoza wewe tengeneza mazingira ya kumla tu
Wamexico sio wazungu ni walatino.
Mkuu,sikushauri umtongoze huyo manzi,mademu wa kizungu chemistry yao ni tofauti kidogo na hawa wafrika wenzetu,mademu wa kizungu wako social sana unaweza ukadhani anakushobokea kumbe wala ndio alivyo tu.iliwahi kunitokea hyo,manzi mmoja wa kijerumani tulikua karibu sana kiasi kwamba aliweza kukaa na chupi tu mbele yangu tukiwa chumbani but mwisho wa siku nilivyopiga sound manzi akanambia ''sorry i thought we are good friends''na tangu pale akaanza kunikwepa.nilichojifunza kwa mademu wa kizungu sio wanafiki,kama anakutaka atakuonyesha hisia zake live ikiwa ni pamoja kutaka kujua historia yako ya mahusiano bt aspokuulza yote hayo huyo ujue anataka urafiki wa kawaida tu.
Mkuu acha kabisa habari ya kumtongoza! Kuwa naye hivo hivo!
Kama anakuhitaji kimapenzi atakuonesha usijaribu kuropoka! Utakosa mengi sana kutoka kwake!
Hawako hivo hao kakangu!
Acha kujichimbia kabuli. Tabia za kizungu unazo ziona kwake zisikuponze mkuu.
Ha ha ha usidharau nazi, hilo embe ni la msimu tu
KIla mtu kakushauri kuwa usimtongoze.Ni watu wa vitendo ni kujipanga tu ila jali kazi zaidimbake tu! kutongoza ilikua zamani
Abdalla Kigoda anazikwa lini?
Ukitongoza tu ndo utaharibu, subiri safari ya zanzibar mkianza kuswim unagusa wowowo kimtindo kama bahati mbaya response yake itakupa jibu
Ushauri wako sio keshasema aligusa bahati mbaya dushe likamsimama sasa akigusa kwa makusudi si atakojoa kabisa
Wakuu,
Hivi karibuni shirika limeleta bosi mzungu mwanamke, ana utu na Upendo sana, na ni mchangamfu sana, lakini zaidi ya yote ni mzuri sana kwao ni mexico sasa sijajua wa Mexico pia ni wazungu au la.Ana wowowo na umbo namba nane nywele nyeusiii hadi mgongoni, kwa kweli ni mzuri hakuna lugha ya kutumia nikaeleweka.
Sasa nimebahatika kuwa karibu nae sana, maana ndie immediate boss wangu kwa sasa ameletwa kwa mkataba wa miaka mitatu, mm ndie nilimtafutia nyumba ya kukaa, na weekend ananiita tushinde wote kwake maana kampani, nimekua nikimpeleka sehem mbali mbali mfano bagamoyo, na pia ana nia ya kupaona Zanzibar hivi karibuni katika weekend zijazo.
Last weekend tulienda Bagamoyo tukaogelea kwenye fukwe za huko, kwa kweli nilisisimka mno kwa mguso wake majini, lile wowowo likinigusa mbele kunatengeneza muinuko nalazimika kumkwepa hadi hali itulie, kwa kweli ukituona unaweza kusema ni wapenzi.
Kazini watu wameanza kunitazama kwa jicho la husda kwa ukaribu tulio nao, wengine wameenda mbali zaidi wakiambiana jean ameshalamba yule mmexico kumbe wapi.
Sasa wakuu mnaonaje nijilipue tu nimwambie nampenda awe wangu? Maana naogopa nisije nikataja mambo ya mapenzi kumbe yeye hayupo huko, sababu juzi nimemsikia akiongea kwa simu alipomaliza akaniambia alikua anaongea na boyfriend wake alieko marekani nikawa mnyonge.
Sasa sijui akinikataa itakuaje, ila akinikubali nitakua nimelamba bingo maana kifedha pia yupo vizuri, natumwa ku change dollar kila mara, na sasa hivi Mara chache sana natumia gharama zangu, sababu hata tukitoka kazini nakua nae hadi mibaya ndo narudi kwangu, tunakua kwenye coffee shops na pub mbalimbali.
Dah niko njia panda aisee, Mungu anisaidie tu nipate nguvu za kumwambia hatimae nimpate niachane na lile jianamke linalonifuatilia kila siku
Wadau ushauri