Huyu mzungu atanikubali kweli?

Huyu mzungu atanikubali kweli?

Mwambie muende hata Mbeya kwenye kimondo na mkifika huko kwa vile hamuwezi kurudi siku hiyo ukienda kuchukua chumba muulize nichukue vyumba viwili, akisema ndiyo hujue huna chako.
 
Ninachokiona pekee kwa mleta uzi ni kukosa "exposure". Hawa watu weupe ni social kweli kweli na ni LAZIMA usome vizuri utamaduni wao ili uishi nao vizuri. Sio sawa na kina "koku" au "mwajuma ndala ndefu" wa huku kwetu(sorry girls dont feel offended) ambao wamebanwa na miiko ya tamaduni za kiafrika kiasi ambacho hawezi kukufanyia baadhi ya mambo unless muwe wapenzi. Wenzetu weupe hata anaweza kukiss shavuni na bado akawa hamaanishi mapenzi hayo unayofikiria wewe. Lakini pia weupe hawa ni wawazi sana, kama amekupenda atakwambia tu kweupeeee. Hebu focus on your job, tena piga kazi kisawasawa kiasi hata muda wake wa kuondoka aweze kukurecomend kuchukua nafasi yake au pengine uhamishiwe huko alikotoka/atakakokwenda yeye. Kwa hiyo wewe piga kazi na boresha uhusiano wako wa kikazi na yeye. Jikaze, msemee "dula kichwa wazi "atulie.
Kingine jitahidi na wewe kuwa na time yako, sio kila akikwambia njoo basi huyooooo, sometimes jipe thamani, hata kama utakwenda ila usimpe jibu la moja kwa moja angalau aone na wewe ni mtu smart, waweza mwambia utaangalia schedule yako ilivyo then utamjulisha kama uko na muda. Sio akikwambia lets meet at home saa fulani, wewe ni YES YES YESSSS nyiiiingi. Value yourself dude! Hii ndio nafasi ya kukua kikazi, ipiganie learn alot from her.
Kingine hebu usiache mbachao kwa msala upitie, huyo binti anaekufatafata wa kiswahili, hebu mchukulie serious na usivutike na material things za mzungu! Ikiwezekana oa huyo mswahili na focus kwenye kazi. Utakuwa umeepukana na vishawishi.
 
mswahili tabu tupu ukiona chaka lazima ujisaidie, amekupenda kama rafiki Mkuu achana na habari ya kumtongoza kama amekukumbatia, amekupiga kiss shavuni kule kwao ni kawaida tu acha kuweweseka utaharibu kazi
 
Unawazaje kumtongoza boss wako? Halafu code of conduct ofisini kwenu haiongelei kuhusu kuhusiana na immediate boss wako?

Tafuta galfriend acha udwanzi.
 
acha kabisa mkuu mm ilishawahi kunitokea puani, weupe ni social sana ila si kwenye mapenzi, ni vigumu sana kuchit kama ana mtu tayari,
ushauri: mkienda swimming dushe likiinuka usijifiche anaweza kukuonea huruma.

Nimecheka hii comment sina hamu.
 
Wazungu weng wanapenda one night stand,ukimwambia unampenda atakataa ovious ila ukimwambia au kufanya nae2 kiurafikirafiki wakat yuko uku kuna possibility kubwa kukukubalia
 
Znz anataka pia uende nae?Na je mkifika nani analipa gharama za hoteli?Jaribu kuwa kama unamtania kwamba hata akitaka mlipe chumba kimoja poa tu ila ktk hali ya utani utaona reaction yake.
 
Mkuu, nguo za wazungu ni kyupi na sidiria tu. Nyingine ni mbwembwe. Kuna wazungu walokole huwa wanakuja kukaa tunapoishi na huwa wanavua nguo na kubaki na vyupi na sidiria tu halafu tunakaa tunaongea. Hawaoni kama wako uchi. Nakushauri usimtongoze.
 
Aligusa kiuoga, huyu nae kama jogoo....
Ndo aguse kwa nia ya dhati kuwa anataka mzigo ajaribu na vikiss vya hapa na pale

ila kwa uzoefu wangu na wazungu hapo jamaa atulie tu maana mzunguakikupenda uwa yuko straight sio kama wabongo na wazungu hawasubiri kutongozwa wanakuanza wenyewe.

namsahuri dogo atulize bolu na kuendelea kumsoma huyo demu bila papara na asiingizie issue ya mapenzi hata kidogo ila awe mtundu mtundu demu anaweza kuzimikia flag. Wamexico wengi mapepe ingawa wana tabia za kizungu ila wanapenda sana kula bata

Kuhusu demu wako wa zamani usimmwage jumla maana usiache mbachao kwa msala upitao. Huyo mmexico endelea kuzunguka nae anaweza kukuonjesha papuchi one day mvizie akilewa na wewe kunywa ujitoe fahamu akikulegezea tu unaanza kubambia madenda nn utakuta umemega kisela akimaindi mwambie ni pombe unaomba msamaha unaacha kunywa pombe ukiwa nae
 
Ndugu jean, nakushauri acha kbs kujiharibia kazi yako na sifa yako baadae. Mzungu (any white woman) akisema ana boyfriend that means ana maanisha anachokisema na hawezi kuchange ,wenzetu hapo wapo makini sana kwenye ishu za ku cheat. Nakushauri acha kbs mawazo ya kumtongoza huyo dada na ukijaribu tuu atakutolea nje na atawaambia wafanyakazi wenzako then atatafuta mtu wa kumpa kampani. Utabaki na majuto na stress zako. Wasichana wa kizungu wapo very social to the extent that you can see like anajileta kwako kumbe ni ukaribu then wewe ukatake advantage meen utajuta ile mbaya. Kuogelea nae isn't an issue kwa mzungu don't try kbs. We fanya kazi create connection . Uchi ni uchi tuu acha kumradhau huyo anayekusumbua kwa kigezo cha sijui mmexico.
 
ngoja, nikaandike barua yangu ya kaz mapemaa, ili siku unatemwa tu, mie nipo mlangoni kwenye interview.
 
Wazungu weng wanapenda one night stand,ukimwambia unampenda atakataa ovious ila ukimwambia au kufanya nae2 kiurafikirafiki wakat yuko uku kuna possibility kubwa kukukubalia

That's impossible labda awe mwanamke mzee mwenye umri kuanzia 50 siyo msichana wa miaka 20-35
 
Znz anataka pia uende nae?Na je mkifika nani analipa gharama za hoteli?Jaribu kuwa kama unamtania kwamba hata akitaka mlipe chumba kimoja poa tu ila ktk hali ya utani utaona reaction yake.

Wewe unacheza na mwanamke wa kizungu, unaweza kulipia expensive hotel na usile mzigo ,ukijaribu tuu kumlazimisha atapiga kelele unambaka ,don't even think of doing that.
 
Daah...yaani kama nakuona ushaanza kutukana mamba...yaani mwingine keshabatizwa lijanamke kabla hata hujakubaliwa....!
 
Unawazaje kumtongoza boss wako? Halafu code of conduct ofisini kwenu haiongelei kuhusu kuhusiana na immediate boss wako?

Tafuta galfriend acha udwanzi.

Inaonekana anaye tayari...hujaona kuna mtu amebatizwa 'lijanamke linalomfuatilia'? Wanaume na sketi?!! duuh...
 
Nawajua vzr,hawaoni kama kufanya ni insue kubwa kama sisi
 
Huon ata kwenye movies wanafanya kabisa,unadhan wwle wameoana,lkn movie za kiafrika kumshika mtu kiuno2 au kumkumbatia ni insue
 
Huon ata kwenye movies wanafanya kabisa,unadhan wwle wameoana,lkn movie za kiafrika kumshika mtu kiuno2 au kumkumbatia ni insue

Movies na ku act plus reality ni vitu viwili tofauti. Ku act kwenye movie siyo guarantee ya mwanamke kumpa mwili mtu asiyemjua kirahisi hivyo kama unavyokiri.
Kama angekuwa ni msichana wa kitanzania wala asingetumia nguvu hivyo.
 
Ninachokiona pekee kwa mleta uzi ni kukosa "exposure". Hawa watu weupe ni social kweli kweli na ni LAZIMA usome vizuri utamaduni wao ili uishi nao vizuri. Sio sawa na kina "koku" au "mwajuma ndala ndefu" wa huku kwetu(sorry girls dont feel offended) ambao wamebanwa na miiko ya tamaduni za kiafrika kiasi ambacho hawezi kukufanyia baadhi ya mambo unless muwe wapenzi. Wenzetu weupe hata anaweza kukiss shavuni na bado akawa hamaanishi mapenzi hayo unayofikiria wewe. Lakini pia weupe hawa ni wawazi sana, kama amekupenda atakwambia tu kweupeeee. Hebu focus on your job, tena piga kazi kisawasawa kiasi hata muda wake wa kuondoka aweze kukurecomend kuchukua nafasi yake au pengine uhamishiwe huko alikotoka/atakakokwenda yeye. Kwa hiyo wewe piga kazi na boresha uhusiano wako wa kikazi na yeye. Jikaze, msemee "dula kichwa wazi "atulie.
Kingine jitahidi na wewe kuwa na time yako, sio kila akikwambia njoo basi huyooooo, sometimes jipe thamani, hata kama utakwenda ila usimpe jibu la moja kwa moja angalau aone na wewe ni mtu smart, waweza mwambia utaangalia schedule yako ilivyo then utamjulisha kama uko na muda. Sio akikwambia lets meet at home saa fulani, wewe ni YES YES YESSSS nyiiiingi. Value yourself dude! Hii ndio nafasi ya kukua kikazi, ipiganie learn alot from her.
Kingine hebu usiache mbachao kwa msala upitie, huyo binti anaekufatafata wa kiswahili, hebu mchukulie serious na usivutike na material things za mzungu! Ikiwezekana oa huyo mswahili na focus kwenye kazi. Utakuwa umeepukana na vishawishi.

Umemshauri vizuri sana,sasa ni yeye tu...kazi zimekuwa za shida sana kupata sasa yeye akichezea hiyo nafasi shauri yake.
 
Back
Top Bottom