Huyu mzungu atanikubali kweli?

Huyu mzungu atanikubali kweli?

Naomba ukome kwa kauli yako hiyo ya "lile lijianamke" imagne mama, dada, shangazi zako wanaitwa ivo! how do you feel?

Next:
kua kwanza maana una vitu viwili vya kitoto vinakutatiza,,,

i>unataka sifa ya kuoa wazungu pasipo kutizama next side of a coin,
alwayz 'mwanamke tabia utajir wa rangi ata kinyonga anayo'

ii> unataka kuolewa na sio kuoa eti natumwa kuchange dollar hahah zina wenyewe imagine mwanamke anapesa kali ivo je kwao? Na mahari utaweza toa kwao? Kwanza Ukifika utawekwa kwenye mafungu ya magatekeeper na sio muoaji.

Alwayz mafuta na maji havigusani lazma vitengane vivo hivo kazi na mapenzi haviendani!
Sasa we katongoze ukizan anafanya kaz hapo kwa part time ataondoka na umle kwa nguvu uje uone ye atakuwa mexco kwao we utarudi chunga mbuzi na kazi huna.
 
Unavyomfikiria ni tofauti,tatizo wewe umekulia kwenye mfumo mwingine na yeye amekulia kwenye mfumo mwingine,hapo kila mmoja anamshangaa mwenzake kimoyomoyo.
 
Inaelekea ni mara ya kwanza kufanya kazi na watu weupe, Pole sana fuata ushauri wa maana uliopewa tulia na hizo tamaa zako za mwili we kando akikupenda atakuambia
 
Boyfriend maana yake ni rafiki wa kiume, kwahiyo pengine hata anapozungumza na huyo boyfriend wake marekani anamwambia kuwa yupo na boyfriend wake wa kibongo bagamoyo wakipiga mbizi kama kuvuka kigamboni baada ya kushindwa kulipa kiingilio cha tsh. 300.

Mwisho nakushauri acha tamaa.
 
Sio kila mwanamke anafaa kuwa mpenzi wako. Unashindwa kulitambua hilo.
Maswala ya kuwa wapenzi hapo sahau. Baada ya miaka mitatu akiondoka hatakaa kukukumbuka.
Ila tengeneza mazingira ya kula mzigo na mahusiano yaishie huko tu.
Uwe makini kusoma alama za nyakati, usije kukuta barua ya kufukuzwa kesho yake.
 
Ukitongoza tu ndo utaharibu, subiri safari ya zanzibar mkianza kuswim unagusa wowowo kimtindo kama bahati mbaya response yake itakupa jibu
 
uyo mwache ajilengeshe mwenyew unaweza ku make a first cal ikawa balaa la mwaka
 
Back
Top Bottom