Hapana, sio Ukristo uliondoa utumwa, bali ni mageuzi ya viwanda na ukoloni. Biblia inaruhusu utumwa. Kwahiyo kummiliki mtu kiutumwa si dhambi ktk Ukristo.
Kwani utumwa ulianza miaka ya 1800 labda hata uwataje wana harakati kama hao? Kwani Ukristu ni watu au kitabu? Haya Bible inasemaje juu ya siku ya Sabatho? Isome hadi mwisho ndani ya Bible yako. Bible imetoa maelekezo mengi juu ya kivipi mchamungu anavyotakiwa kummiliki mtumwa/watumwa wake. Soma.Ukristo hauruhusu utumwa. Paulo hakuona sababu kupambana na dola ya Rumi kuhusu utumwa. Hiyo sio kuruhusu. Nilisema Utumwa Pwani ya Afrika Mashariki. Nilikuwa makini. William Wilberforce aliongoza kampeni bunge la Makabwela Uingereza kuishinikiza serikali ya Uingereza kukomesha Utumwa katika Pwani hizo. Wilberforce na wenzie 12 wabunge humo walikuwa Wakristo. Wamishenari Tanzania kulingana na Karl Erik Sahlberg, From Krapf to Rugambwa, walikomboa ama kupokea watuwa waliotoroka mabwana waliowamiliki Waarabu. Wengi walihifadhiwa Bagamoyo misheni kwa Wakatoliki. Tulisema hivyo kutokana na taarifa hizo.
[emoji3][emoji3]Mimi sitaki kukujua,hauwezi nisaidia chochote mtu kama ww,alafu ukome kuniuliza maswali ya kishamba.
mimi nacho jua mungu alileta sheria au amri kumi tu tena zilikuja kwa mawe yameandikwa.haya mengine tumeandika sisi kujiongezea kupitia roho zetuHapana mkuu, historia Inaonesha kwenye imani za dini hizi ndiko kwenye maovu sana. Chukulia tu hata kwetu Afrika, maisha kabla ya hizi dini na baada ya dini. Mfn. Ushoga kwetu unahusishwa zaidi na jamii za Pwani na visiwani ambako dini zina zaidi ya karne kadhaa.
Halafu sheria za Mungu haziko tu kwenye vitabu, Mungu sio Magufuli hata ategemee makaratasi kukupatia sheria zake, zipo tu kwa kila kiumbe, ziko wazi hata panya, nyoka na miti inazijua na kuzitii ama kuzivunja.
Mbwa au paka wanajua kabisa kuiba ni kosa, hili ni bila kufundishwa.
Mh wacha hizo mambo bwana google ujue nin maana ya unachoandika sio kudanganya ummaIn God we trust= In GOLD, OIL & DIAMOND we trust
Lakini Mkuu...Kweli tupu,
eti moses aliandika mwanzo,na vitabu vitatu zaidi,sasa sijui walivibebaje,maana semi trail hazikuwepo,kipindi hicho hawatumii karatasi,walikuwa wanatumia udongo ,na kwanini hakuna origin manuscript ya maandishi ya moses,
wakati katika museum kuna maandiko ya zamani kuliko kipindi cha moses.
Wayahudi kushinda jangwani miaka 40,nguo za kuvaa walikuwa wakitoa wapi miaka yote hiyo mle jangwani,
Tathimini wayahudi milioni 2 waliondoka misri,foleni yao tu ingeza kufika saudi arabia kabla haijaisha kutoka misri,
walikuwa wanawasiliana vipi ,wakati hapakuwa na simu za mkononi wala vipaza sauti?,
watu milioni 2 huo ni karibu sawa na mji mzima wa mwanza,
matumizi ya maji ni maelfu kwa maelfu ya galoni,kisima kimoja hakitoshi kukidhi mahitaji,kinyesi walichozalisha ni mlima kwa idadi ile,
ukijiuliza unagundua kabisa hizi story zilikuwa overated.
Sawa na ile story ya mafuriko ya Noah kuwa dunia nzima wakati si kweli,
hii habari ukimwambia mfuasi wa gwajima ,mzee wa busara.. Ooh no.mzee wa upako watakuona una pepo
Sijakulazimisha uamini ninachoamini...........Mh wacha hizo mambo bwana google ujue nin maana ya unachoandika sio kudanganya umma
Hujanilazimisha nin wakati ulichoandika ni from ur own mind! Halafu ni kwamba kila atakalo andika mtu humu jukwaani ni kulikubali tuu? Ikiwa hivyo basi ujue iq zetu ni ndogo kuliko za wild animals. What is the power of reasoning?Sijakulazimisha uamini ninachoamini...........
Kwani ni lazima we uamini nilichoandika....tuna fikra tofauti....siwezi kufikiri kama wewe...nawewe huwezi kufikiri kama mimi..Hujanilazimisha nin wakati ulichoandika ni from ur own mind! Halafu ni kwamba kila atakalo andika mtu humu jukwaani ni kulikubali tuu? Ikiwa hivyo basi ujue iq zetu ni ndogo kuliko za wild animals. What is the power of reasoning?
Imani kali humuweka mtu huru. Ukiona mtu kapumbazwa na imani ujue hajaelewa anachoamini.Amesema ukweli imani Kali hupumbaza akili
God ya kwenye dollar maana ake ni gold,oil and diamonddola ya US imeandikwa in God we trust, Mbona hawatukani hao wazungu?
kama sikosei kipindi cha musa ni iron age,hakukuwa na karatasi,Lakini Mkuu...
wewe unaamini zamani hakukuwa na tecnolojia zaidi/sawa ya Hii? au unaamini kuwa zamani ndio ilikua watu wanaishi kama simba porini wapo wapo tu?
wewe unaamini vipi mkuu
Mkuu umeshasoma historia ya dollar ya US? Nan kakwambia "In God we trust "ina uhusiano na dini? Labda nikumegee kidogo kile wanachomaanisha ktk neno Goddola ya US imeandikwa in God we trust, Mbona hawatukani hao wazungu?
Ila huko huko marekani,wapo wahubiri wakizungu,kama pastor John Hagee,na hawa si malofa kama anavyotaka tuamini,wanamhubiri Jesus,na ni matajiri wakubwa,haijarishi ukristo uliletwaje,au ulitumika vipi,Mungu yupo,Hapo vip!!
Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!
Kimsingi wazungu na waarabu katika issue ya dini wametuweza sana bara la Aftica.Kweli tupu,
eti moses aliandika mwanzo,na vitabu vitatu zaidi,sasa sijui walivibebaje,maana semi trail hazikuwepo,kipindi hicho hawatumii karatasi,walikuwa wanatumia udongo ,na kwanini hakuna origin manuscript ya maandishi ya moses,
wakati katika museum kuna maandiko ya zamani kuliko kipindi cha moses.
Wayahudi kushinda jangwani miaka 40,nguo za kuvaa walikuwa wakitoa wapi miaka yote hiyo mle jangwani,
Tathimini wayahudi milioni 2 waliondoka misri,foleni yao tu ingeza kufika saudi arabia kabla haijaisha kutoka misri,
walikuwa wanawasiliana vipi ,wakati hapakuwa na simu za mkononi wala vipaza sauti?,
watu milioni 2 huo ni karibu sawa na mji mzima wa mwanza,
matumizi ya maji ni maelfu kwa maelfu ya galoni,kisima kimoja hakitoshi kukidhi mahitaji,kinyesi walichozalisha ni mlima kwa idadi ile,
ukijiuliza unagundua kabisa hizi story zilikuwa overated.
Sawa na ile story ya mafuriko ya Noah kuwa dunia nzima wakati si kweli,
hii habari ukimwambia mfuasi wa gwajima ,mzee wa busara.. Ooh no.mzee wa upako watakuona una pepo