Jina lake tu linaonesha ni Mmarekani muhamiaji, apambane na Utumwa wake kwanza..Hapo vip!!
Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!
wamerakani wanamsikiliza preacher gani.wanawaoona kama ni vichaa tuMbona marekani inafanikiwa? Hongera kwa kukariri misemo
Mkuu wewe mgeni JF? Ama unadhani Nyani Ngabu anaishi Kwa Mtogole?
Povu la nini? Jitoe JF ili usiulizwe maswali. Halafu ukome, sio lugha ya kiume, jibu swali.Mimi sitaki kukujua,hauwezi nisaidia chochote mtu kama ww,alafu ukome kuniuliza maswali ya kishamba.
Labda sijaelewa unaongelea Marekani ipiwamerakani wanamsikiliza preacher gani.wanawaoona kama ni vichaa tu