Hapana mkuu, historia Inaonesha kwenye imani za dini hizi ndiko kwenye maovu sana. Chukulia tu hata kwetu Afrika, maisha kabla ya hizi dini na baada ya dini. Mfn. Ushoga kwetu unahusishwa zaidi na jamii za Pwani na visiwani ambako dini zina zaidi ya karne kadhaa.
Halafu sheria za Mungu haziko tu kwenye vitabu, Mungu sio Magufuli hata ategemee makaratasi kukupatia sheria zake, zipo tu kwa kila kiumbe, ziko wazi hata panya, nyoka na miti inazijua na kuzitii ama kuzivunja.
Mbwa au paka wanajua kabisa kuiba ni kosa, hili ni bila kufundishwa.