Huyu mzungu ametuchanachana aisee!!

Huyu mzungu ametuchanachana aisee!!

Namuunga mkono 100% huyu muungwana.

Napata shida sana kumuhusisha Mungu na hizi dini tulizonazo.

Kuna uhusiano gani kati ya Mungu na hizi dini?
 
msiamini hili! Huyu ni mtumishi wa shetani anataka watu waiasi dini! Hawa wanadhani kila kilichoandikwa na mzungu ni ukweli! Kataa ushetani huu endelea kumtumikia Mungu
 
Kuna ukweli katika maneno ya huyu mpagani mweupe.especialy kwenye swala la mawigi,hivi kwann mpaka leo wanawake wanavaa mawigi aisee tena yenye kufanania na nyele za kizungu.huu ni utumwa wa kifikra.
 
Mbona tunatokwa sana na povu mimi nimependa pale aliposema wanawake weusi wanaruka na kucheza kanisani hadi mawigi yao yanadondoka

Ila kuna point za ukweli kwenye andiko lake iweje ukubali umeumbwa mfano wa Mungu then unaenda kumuabudu aliyekuumba hivyo na wig

mogulnoise wa Iyunga?
 
Hapo vip!!

Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!
fb_img_1512550062960-jpg.645219
 
huyo ni anti christ mbona US na maendeleo yao ndio upentecoste/ulokole umeanzia uko tena kwa hao hao wazungu ambao wanapinga same sex marriage, kutoa mimba etc
US haijajengwa na dini kamwe, China nimiongoni mwanchi zenye waumini wachache kabisa duniani. Nchi pekee iliyoendelea kwa Dini ni Roma, sadaka za dhahabu fedha na vito, ukwepaji mkubwa wa kodi ndy mtaji wao.
 
Kweli tupu,
eti moses aliandika mwanzo,na vitabu vitatu zaidi,sasa sijui walivibebaje,maana semi trail hazikuwepo,kipindi hicho hawatumii karatasi,walikuwa wanatumia udongo ,na kwanini hakuna origin manuscript ya maandishi ya moses,
wakati katika museum kuna maandiko ya zamani kuliko kipindi cha moses.
Wayahudi kushinda jangwani miaka 40,nguo za kuvaa walikuwa wakitoa wapi miaka yote hiyo mle jangwani,

Tathimini wayahudi milioni 2 waliondoka misri,foleni yao tu ingeza kufika saudi arabia kabla haijaisha kutoka misri,
walikuwa wanawasiliana vipi ,wakati hapakuwa na simu za mkononi wala vipaza sauti?,
watu milioni 2 huo ni karibu sawa na mji mzima wa mwanza,
matumizi ya maji ni maelfu kwa maelfu ya galoni,kisima kimoja hakitoshi kukidhi mahitaji,kinyesi walichozalisha ni mlima kwa idadi ile,
ukijiuliza unagundua kabisa hizi story zilikuwa overated.
Sawa na ile story ya mafuriko ya Noah kuwa dunia nzima wakati si kweli,
hii habari ukimwambia mfuasi wa gwajima ,mzee wa busara.. Ooh no.mzee wa upako watakuona una pepo
 
Kuna ukweli katika maneno ya huyu mpagani mweupe.especialy kwenye swala la mawigi,hivi kwann mpaka leo wanawake wanavaa mawigi aisee tena yenye kufanania na nyele za kizungu.huu ni utumwa wa kifikra.
Labda sisi wanaume ndio chanzo, hatuwabezi nao hufanya yote kutuvutia. Mi huwa hayanivutii kabisa, mtu akiwa halisi ananivutia sana.
 
Stupid white man.Dont beleave every staff from this crazy people in name of White people.
 
Hapo vip!!

Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!


That "Muzungu" is mentally deranged!!!
 
Wanawake wanaovaa mawigi wanasikitisha...... ona mpaka mawigi yanadondoka wakiwa kanisani wanaimba!
 
Back
Top Bottom