Huyu mzee vipi?

kubali tu 😂mzee nae mtu utajifunza kumpenda taratibu


au kataaa bhana subiri uolewe na umpendae

NB:ukifika 30+ wana maombi tupo tutakusaidia au sio Depal To yeye Leejay49 Lamomy
Muulize yule jamaa alikula au alimwekea ngumu
 
Ukiolewa naye basi dhambi ya kucheat inakuhusu
 
Uzi unachekesha huu, haya beba hilo zee lenye sura ya SONGESHA mahi ukajilie maokoto yako ila unaenda kuwapa mabinti zako kazi ya kuolewa baadae
 
Km ana
€ wee mkubali tyuuh.
Afu huyo kijana wako mfanye side chick wa kukupa mzagamuo.

Shtuka mjini akili.
 
Uzuri wa wazee "kazi ndogo malipo makubwa" sio kama vijana wanasimamia kucha halafu hawana kitu....usiogope mpe tu! Japo uwe makini tu na "jicho" lako..maana ndio sehemu pendwa...usiseme hukuonywa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…