- Thread starter
- #21
Mwambie akulipie kodi.. Akikubali ishi humo.
Waooh ulikuwa kwenye akili yangu hapa nimepanga nimwambie afanye muhamala wa laki 5 nione kama ni serious
Mwambie akulipie kodi.. Akikubali ishi humo.
Na pesa ndio dawa yenuWengi wao kama hamorapa
Sema nimegundua wanaume wenye maokoto wengi sura zimewakataa kinachowabeba ni pesa zao tu
Na pesa ndio dawa yenu
sijajua kama unataka ushauri au unataka kitu gani?be openWewe unahisije
Angalia usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa
sijajua kama unataka ushauri au unataka kitu gani?be open
Kijana nipo 🙂Naomba namba ya huyo mzee 😊
Wewe ndio unayetaka kuolewa sio sisi..hapa utapewa ushauri wa kila aina ila akili kichwani mwako.Sio nimpe… kasema anataka ndoa kwaivyo niseme aje lini alete mahari
Naomba namba ya huyo mzee![]()
Wewe ndio unayetaka kuolewa sio sisi..hapa utapewa ushauri wa kila aina ila akili kichwani mwako.
Igiza kuwa mwanamke. Siku wanakuchomekea mpini utakunya na utumbo kutoka nje.
Pathetic!.
Nakuona nakuonaaa😉😉Kijana nipo 🙂
Basi funga thread ubaki na mzee wako. ❌️mambo yasiwe mengiDada rubii ili danga siwezi kutoa namba yake nataka nilishikirie litangaze ndoa
Nione na kingine sasa 😉Nakuona nakuonaaa😉😉
Age difference ya 20 ndiyo inakushtua? Mama Karume anakuambia aliolewa akiwa 15 japo hajui umri wa mumewe ila anasema huena alikuwa kwenye 40+ukweli nimemkataa kutokana na age yake hajafika 50 yupo kwenye 40 na kitu…