Huyu mzee vipi?

Huyu mzee vipi?

Age difference ya 20 ndiyo inakushtua? Mama Karume anakuambia aliolewa akiwa 15 japo hajui umri wa mumewe ila anasema huena alikuwa kwenye 40+

Heee weee
 
Punguza kujiendesha mdogo wangu be true
Juzi ulikuwa unaomba ushauri hapa

Leo tena unakuja kivingine 😂😂😂
 
Punguza kujiendesha mdogo wangu be true
Juzi ulikuwa unaomba ushauri hapa

Leo tena unakuja kivingine

Si unaona nimetanguliza juu kwamba tuna miezi 6 na sijui kama atania au la

Sasa kama sio mume hajaleta mahari kwanini nizibe milango kwa watu wenye nia
 
, sura yake ya tafadhali nipigie
emoji51.png
emoji51.png
Hii mpya kwangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom