Huyu mzee vipi?

Huyu mzee vipi?

Utoto Raha sana yaani 😂😂😂
Ngoja ufikishe miaka 27 na kuendelea sidhani kama utakuwa unaleta nyuzi za kitoto kama hizi
 
Wanaume wezangu si mmeona hawa viumbe tunaowapenda walivyo

Sema tatizo lake ni mfupi kuliko mimi, mweusiii teee, sura yake ya tafadhali nipigie
 
Umri wangu bado nipo 20s nina kijana wangu wa miezi6 nampenda japo sio sana.. sijajua kama atanioa ama la,

Miezi kazaa nikiwa kazini kwangu alikuja mzee wa makamo yaani umri wa baba angu mdogo… kwasababu boss wangu namwita baba hivyo yule na mwitaga baba mdogo…

Basi bamdogo ametokea kunipenda nasikia siku nyingi tu alikuwa anamwambia baba( boss) kuwa amenielewa anataka kunioa… ukweli nimemkataa kutokana na age yake hajafika 50 yupo kwenye 40 na kitu…

Kinachonikera akija mahali tulipo kwenye mitoko analialia ooh ananipenda mimi simtaki mimi naona ananiabisha maana unakuta watu wote wanasema umkubali afate taratibu akuoe

Ameniambia kuwa alikuwa na mwanamke ila hawakufunga ndoa alimzalia watoto mapacha akampa zawadi ya nyumba baadae mwanamke akatoroka na mwanaume Kenya kwaiyo watoto wake huja kumsalimia… amesema yupo serious anataka anioe na ndoa sio kunichezea

Sema tatizo lake ni mfupi kuliko mimi, mweusiii teee, sura yake ya tafadhali nipigie

Ndio weekend yangu inaishia kwa kuwaza ombi la huyu mzee… et nimkubali tu jmn isije nikafika 30s nikakosa mume au nimsikilizie kijana wangu
Kubali tuu, mpe yote akitaka na mku... Mpe tu
 
Wewe ushafika
Endelea kujifurahisha tu mdogo wangu, nakushauri anza kujipenda Mwenyewe kwanza na wengine watakupenda tu. Usitafute attention za watu humu hasa kuhusu mambo ya mahusiano na mapenzi. Kama kweli unapata bahati kama hizo usizitangaze Kuna Dada zako wengi wanazitafuta kwa udi na uvumba ujue 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom