Haya mje mnipe mbinu za kutumia nisipate mimbaa
Jamaa ataingia usiku sana tupo tunachart hapa nimemuuliza kuhusu sex kasema we lazima tufanye nikampa mashart ya kupima na kutumia kinga yaani kondomu kasema tutapima ila yeye hawezi kutumia condom maana mimi ni mpnz wake hawezi kufanya sex kama anafanya na malaya.
Sasa nyie mlionishauri nimpe mimi sijawah tumia uzazi wa mpango na naogopa maana nasikia zina madhara hapo baadae
Nikisema nitumie kalenda nitadanganya mzunguko wangu umevurugika ndani ya miez 6 mzunguko wangu unabadilikabadilika
Haya nipeni mbinu za kutumia za asili nisishike ujauzito
Jamaa ataingia usiku sana tupo tunachart hapa nimemuuliza kuhusu sex kasema we lazima tufanye nikampa mashart ya kupima na kutumia kinga yaani kondomu kasema tutapima ila yeye hawezi kutumia condom maana mimi ni mpnz wake hawezi kufanya sex kama anafanya na malaya.
Sasa nyie mlionishauri nimpe mimi sijawah tumia uzazi wa mpango na naogopa maana nasikia zina madhara hapo baadae
Nikisema nitumie kalenda nitadanganya mzunguko wangu umevurugika ndani ya miez 6 mzunguko wangu unabadilikabadilika
Haya nipeni mbinu za kutumia za asili nisishike ujauzito