Msambwata
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,307
- 1,499
Wanabodi,
Awali ya yote naomba kutoa shukurani za dhati kwa Mh Rais kwa msamaha kwa ndugu na jamaa zetu wote ingawa najua future yao ipo mashakani sana.
Ila naombeni kujuzwa huyu Mzee Matonya (85) alikuwa nani na alifanya kosa gani hadi akaukumiwa maisha jela?
Naombeni elimu.
Awali ya yote naomba kutoa shukurani za dhati kwa Mh Rais kwa msamaha kwa ndugu na jamaa zetu wote ingawa najua future yao ipo mashakani sana.
Ila naombeni kujuzwa huyu Mzee Matonya (85) alikuwa nani na alifanya kosa gani hadi akaukumiwa maisha jela?
Naombeni elimu.