Huyu Mzee Matonya aliyepata msamaha wa Rais ni nani na alifanya kosa gani?

Issue ya Wakina babu seya mm mpaka leo Niko
Nutro .....mpaka sasa wenyewe hawajakiri kama ni kweli walifanya vile vitendo,mahakama ilipowaona wana hatua na kuwahukumu bado wenyewe Wakina nguza hawajawahi kukiri mbele ya public kwa hawajafanya tendo lilo..
Labda sahivi watauweka ukweli hadharani

Ova

Hawawezi kukiri!

Gharama ya Kukiri ni kubwa kuliko ya kutokukiri
 
Mimi bado napinga Uamuzi wa Magufuli wa kuwasamehe kina Babu Seya hata Kama ni uamuzi halali!

Nategemea Mashirikia ya haki za Watoto wapinge nao!

Watu wameenda mpaka Court of appeal na wamefanya review ya Kesi bado wamekutwa na hatia Halafu wanaachiwa kwa kweli sijaipenda hata Kama Rais Ana haki hiyo!
Hapa kaangalia ubinadamu zaidi..hebu fikiria tangu 2004 wako nyuma ya nondo..na wameonesha mabadiliko makubwa..
 
Hapa kaangalia ubinadamu zaidi..hebu fikiria tangu 2004 wako nyuma ya nondo..na wameonesha mabadiliko makubwa..

Sema kaangalia Motive ya Kisiasa sio ubinadamu!

Kuna Vijana wa Miaka 20 bado akili hazijakomaa wamempa Mimba Kijana mwenzie wa Miaka 18 ambae ni Mwanafunzi wamepigwa Mvua za Miaka 30, Nani hapo alistahili Msamaha Tena kuumbuka Huyu Kijana kabaka kwa Mujibu wa Sheria sio kuwa katumia nguvu kuingilia
 
Mimi bado napinga Uamuzi wa Magufuli wa kuwasamehe kina Babu Seya hata Kama ni uamuzi halali!

Nategemea Mashirikia ya haki za Watoto wapinge nao!

Watu wameenda mpaka Court of appeal na wamefanya review ya Kesi bado wamekutwa na hatia Halafu wanaachiwa kwa kweli sijaipenda hata Kama Rais Ana haki hiyo!
kwa hiyo tunafanyaje sasa
 
Mimi bado napinga Uamuzi wa Magufuli wa kuwasamehe kina Babu Seya hata Kama ni uamuzi halali!

Nategemea Mashirikia ya haki za Watoto wapinge nao!

Watu wameenda mpaka Court of appeal na wamefanya review ya Kesi bado wamekutwa na hatia Halafu wanaachiwa kwa kweli sijaipenda hata Kama Rais Ana haki hiyo!
Wacha mheshimiwa a-play karata zake za mchezo ili ashinde vema

KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

<br />Sura ya pili, sehemu ya kwanza ibara ya 45, ibara ndogo ya kwanza. <br /><br />Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika ibara hii, Rais anaweza hutenda lolote kati ya mambo yafuatayo

<br /><br />(a) kutoa msamaha kwa wa mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya mahakama kwa kosa Iolote, na aweza hutoa msamaha huo ama bila ya masharti au hwa masharti, kwa mujibu wa sheria;

<br /><br />(b) kumwachilia habisa au kwa muda maalum mtu yeyote aliyehukumiwa kuadhibiwa kwa ajili ya kosa Iolote iIi mtu huyo asitimize habisa adhabu hiyo au asitimize adhabu hiyo wakati wa muda huo maalum;

<br /><br />(c) kuibadilisha adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa kosa Iolote iwe adhabu tahafifu,‘

<br /><br />(d) kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote jwa ajili ya kosa Iolote au kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu ya kutoza, au kuhozi (au huchukua) kitu cha mtu mwenye hatia ambacho vinginevyo kingechukuliwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano.
 
Sema kaangalia Motive ya Kisiasa sio ubinadamu!

Kuna Vijana wa Miaka 20 bado akili hazijakomaa wamempa Mimba Kijana mwenzie wa Miaka 18 ambae ni Mwanafunzi wamepigwa Mvua za Miaka 30, Nani hapo alistahili Msamaha Tena kuumbuka Huyu Kijana kabaka kwa Mujibu wa Sheria sio kuwa katumia nguvu kuingilia

Aisee yule kijana wa bukoba kanisikitisha sana..Kwa jicho la tatu uko sahihi kiongozi
 
Mahakama zote walizopitia mpaka Court of appeal ambayo bado inaaminika mpaka Sasa imewakuta na hatia na hata walipoomba review ya kesi Yao bado wamekutwa na hatia!
Basi walitenda kosa,ila mtaani kuna yale maneno Sijui wamefiksiwa Kesi,lakini hata kama mtu anakuhujumu unaona kabisa unakwenda kunyoa maisha Jela Lazima wangesema ukweli,yah kuwa sisi tunafanyiwa Hujuma kwa sababu ya 1,2,3 ila wao wakawa kimya!

Ova
 
Mimi bado napinga Uamuzi wa Magufuli wa kuwasamehe kina Babu Seya hata Kama ni uamuzi halali!

Nategemea Mashirikia ya haki za Watoto wapinge nao!

Watu wameenda mpaka Court of appeal na wamefanya review ya Kesi bado wamekutwa na hatia Halafu wanaachiwa kwa kweli sijaipenda hata Kama Rais Ana haki hiyo!
Kwa maelezo yako ni kama unasema Mahakama ya TZ haijawahi Kutokutenda haki hata mara moja na kwamba ni Taasisi huru isiyoingiliwa na wale waliowahi kutiwa hatiani na mahakama zetu kisha kufungwa;wote ni wakosaji. Wenye hela wanaoshinda kila siku wana haki n.k

Takwimu zikionesha Mahakama imewahi kuongoza kwa Rushwa, pia imewahi kuwa ya pili nyuma ya Polisi; Taasisi zinabadilishana kijiti kwenye Rushwa, sasa kama hivyo ndivyo, haki na uhalali wa kila hukumu unatoka wapi?
 
Basi walitenda kosa,ila mtaani kuna yale maneno Sijui wamefiksiwa Kesi,lakini hata kama mtu anakuhujumu unaona kabisa unakwenda kunyoa maisha Jela Lazima wangesema ukweli,yah kuwa sisi tunafanyiwa Hujuma kwa sababu ya 1,2,3 ila wao wakawa kimya!

Ova

Si ndo hapo!
 
Mimi bado napinga Uamuzi wa Magufuli wa kuwasamehe kina Babu Seya hata Kama ni uamuzi halali!

Nategemea Mashirikia ya haki za Watoto wapinge nao!

Watu wameenda mpaka Court of appeal na wamefanya review ya Kesi bado wamekutwa na hatia Halafu wanaachiwa kwa kweli sijaipenda hata Kama Rais Ana haki hiyo!
Naona umeandika kwa Uchungu mkubwa sana Mkuu...............!!! Pole..............
 
Wakati napitia kwenye kesi ya mwaka Volume Index 1967 - 1968 kuna jina nalijua linaitwa matonya Chima ambapo kuna case ya namna hii sasa sijajua kama ina mahusiano na hilo kwani jina la kwanza la huyo mzee sijalijua

98. Matonya Chima v.R. Crim. App. 89,90,91-D-67; Duff, J
Accused, aged fourteen sixteen and seventeen years respectively, were convicted
of rape. (P.C., ss. 13,130.) All three were sentenced to twelve months’
imprisonment, the magistrate stating that two were adults while the third was a
young person.
Held: (1) Section 22 of the Children an Young Persons Ordinance, Cap.
13, prescribes that no young person shall be imprisoned unless the court considers
that “none of the other methods of punishment are suitable.” The Court
stated, “A more appropriate punishment would have been corporal punishment.”
(2) The sentences of all three were set aside, and sentences substituted so as to
result in their immediate release.

pia kuna kesi nyingine ya jina la matonya ila hii inaonyesha yeye kuuwawa sasa sijui jina lake ni lipi

The accused was charged with the murder of Mrimba Matonya. The accused
lived at Manzase with his wife. For about four months before the events which
led to this change he had suspected her of infidelity. He thought she was
having an affair with an Mgogo man and had reported the matter to Mwajuma
Athumani who was the ten cell leader of the area. Mwajuma called the wife,
Elizabeth, and spoke to her but she denied the affair. There was, however,
clear evidence of some degree of familiarity between her and the deceased.
Juma Issa, a bar man at a Manzese bar, says that he knew Elizabeth and the
deceased quite well and that he saw them frequently at the bar. Usually they
arrived together and left together. On the 2nd June, 1968 they came together
at about 8 p.m. and sat in the compound of the bar drinking. He left them
there to go to purchase cigarettes. When he returned about 9.15 p.m. there
was a great deal of commotion about the bar. He saw the deceased lying
near a house which is adjacent to the bar. He had a stop wound on his chest
and was bleeding heavily. On that very night the accused called at Mwajum’s
house at about 9 p.m. He had a knife in his hand. He told her that he had
found the people for whom he had been looking that he had stabbed them.
She enquired who the persons he meant were. He said his wife and the
Mgogo man. The following day the accused made a statement in which he
said that for some time his wife had been in the habit of sleeping away from
home without telling him where she was going. Eventually he received
information that she was having an affair with Mgogo man.
Daah
 
Kwa maelezo yako ni kama unasema Mahakama ya TZ haijawahi Kutokutenda haki hata mara moja na kwamba ni Taasisi huru isiyoingiliwa na wale waliowahi kutiwa hatiani na mahakama zetu kisha kufungwa;wote ni wakosaji. Wenye hela wanaoshinda kila siku wana haki n.k

Takwimu zikionesha Mahakama imewahi kuongoza kwa Rushwa, pia imewahi kuwa ya pili nyuma ya Polisi; Taasisi zinabadilishana kijiti kwenye Rushwa, sasa kama hivyo ndivyo, haki na uhalali wa kila hukumu unatoka wapi?

Hivi Wewe uhukumiwe kufungwa Maisha kwa kuonewa na Mwanasiasa Mara zote unafikishwa Mahakamani ushindwe kuuropoka Ukweli hata Mara Moja na huku unajua unaangamizwa kwa kusingiziwa?

Hata Mtoto wake alieachiwa huru ashindwe hata Mara Moja kusema my Dady anatolewa kafara kwa sababu Hii?

Kama kashindwa kujitetea nyakati zile ngumu unadhan atajitetea kwny issue ipi?


Jiruhusu kufikiria kwa upande wa pili pia!
 
Back
Top Bottom