macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,771
- 39,555
Hii kesi wakati inaendeshwa ulikuwa wapi? Nauliza kwa sababu asilimia kubwa ya watu wanaosema wabebambikiwa hawajui hata kesi ilifanyika lini na mashtaka na ushahidi vilikuwaje? Kama kweli kuna mtu alifuatilia tangu mwanzo na anasema wanasingiziwa basi ana walakini. Ushahidi ulikuwa clear na ulinyooka kama rula. Nadhani huyu mzee na watoto wake walikuwa wanaongozwa na imani za kishirikina. Na nasikitika zaidi kuwa Tanzania hakuna media yenye kuweza kufukua na kuwahoji wale waathirika (ambao sasa ni watu wazima) ila kwa kificho (unonymous) ili waeleze watu waamini. Jaribunu kutembelea maeneo hili tukio lililofanyika kama mu wachunguzi wazuri mtajui hili jambo ni kweli.mkuu mm ningekusupport kama kweli 100% kosa lao ni kubaka
lkn ishakua sio siri tena hata ww utakua unajua kama kulikua na mkono wa mtu
japo sio mwanasheria lkn ile kesi iliendeshwa hovyo hovyoo hakukua na clear evidence zaidi ya mwalim na hao watt waliokua wanalalamika wamebakwa..lazma umpe mtu benefit of doubt mtuhumiwa
Wat if walipandikizwa wale watt na mwalim wao??
mwalimu ndo alikua anawapeleka watt halafu yy bado yuko huru
mm nampongeza sana mheshimiwa rais
wote tunajua wanaokwenda jela sio wote wana hatia
hata kama walibaka wameshateseka sana na kama hawakubaka basi mungu kawasaidia pia
mm niko upande wa rais kwa hili