mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,172
- 106,690
Swali lingine vp kuhusu Wale watoto waliyoingiliwa kinyume,je kisaikolojia watakuwaje maana n'a wao mpaka sasa hawajulikani walipo?Si ndo hapo!
Huko walipo watajiskiaje
Ova
Swali lingine vp kuhusu Wale watoto waliyoingiliwa kinyume,je kisaikolojia watakuwaje maana n'a wao mpaka sasa hawajulikani walipo?Si ndo hapo!
Swali lingine vp kuhusu Wale watoto waliyoingiliwa kinyume,je kisaikolojia watakuwaje maana n'a wao mpaka sasa hawajulikani walipo?
Huko walipo watajiskiaje
Ova
Na mimi ndy maswali yangu hayo nayofikiriagaHivi Wewe uhukumiwe kufungwa Maisha kwa kuonewa na Mwanasiasa Mara zote unafikishwa Mahakamani ushindwe kuuropoka Ukweli hata Mara Moja na huku unajua unaangamizwa kwa kusingiziwa?
Hata Mtoto wake alieachiwa huru ashindwe hata Mara Moja kusema my Dady anatolewa kafara kwa sababu Hii?
Kama kashindwa kujitetea nyakati zile ngumu unadhan atajitetea kwny issue ipi?
Jiruhusu kufikiria kwa upande wa pili pia!
Hahahaha imenidi nicheke kama mazuri ila ndy ukweli huo .....dah hatari sanaPengine ndio Kizazi cha Mashoga wanaosumbua Mjini kwa Sasa maana hatujui athari waliyopata
Ibara ya 45 ya katiba inampa mamlaka mh Raisi Bila kuingilia utendaji wa mahakama kusamehewa,kubadilisha kifungo kwa kosa loloteHivi Inaruhusiwa kisheria kusamehe Wauaji na Wabakaji ?
Chukua kamba ujinyonge...Mimi bado napinga Uamuzi wa Magufuli wa kuwasamehe kina Babu Seya hata Kama ni uamuzi halali!
Nategemea Mashirikia ya haki za Watoto wapinge nao!
Watu wameenda mpaka Court of appeal na wamefanya review ya Kesi bado wamekutwa na hatia Halafu wanaachiwa kwa kweli sijaipenda hata Kama Rais Ana haki hiyo!
Chukua kamba ujinyonge...
Kwa hiyo leo unamponda je ni lini ulimpongeza?Hatujinyongi!
Utamaduni wetu hapa JF ni kutoa Mawazo yetu
Leo namkosoa Rais, kesho namuunga Mkono ndio jadi yetu humu Kama Wewe ni Mgeni au umesahau!
Kwa hiyo leo unamponda je ni lini ulimpongeza?
mkuu hiyo avatar yako ni balaaWanabodi,
Awali ya yote naomba kutoa shukurani za dhati kwa Mh Rais kwa msamaha kwa ndugu na jamaa zetu wote ingawa najua future yao ipo mashakani sana.
Ila naombeni kujuzwa huyu Mzee Matonya (85) alikuwa nani na alifanya kosa gani hadi akaukumiwa maisha jela?
Naombeni elimu.
Pohamba NINA WASIWASI UNA MASLAHI NA KIFUNGO CHA BABU SEYA NA UNAUMIA SANA KUACHIWA KWAO. MKUU KAMA ULISHRIKI KUWABAMBIKIA KESI BASI SUBIRI ADHABU, WARUDI CONGO WAKAKUROGE.
ILA KAMA KWELI WALITENDA KOSA, MUNGU ATAWAHUKUMU.
HATA HVYO, WAMEFUNGWA TANGU 2004 MPAKA LEO NI MIAKA 13, KAMA KUJIFUNZA WAMEJFUNZA.
KUHUSU KUKUTWA NA HATIA NA MAHAKAMA HAIMAANISH KWAMBA UMETENDA KOSA KWA SABABU SYO KILA ANAYEKWENDA JELA ANA HATIA.. MAHAKAMA SYO MUNGU (HAIKO PERFECT NA PIA KUMBUKA KUNA RUSHWA)
MARA NGAPI KUNA MAFISAD UNAYAJUA YAMEDHULUMU UCHUMI NA BADO HAYAFUNGWI?
KTK KESI KUNA MAMBO MENG MKUU, KUTENGENEZA USHAHD, RUSHWA, UDHAIFU WA UPANDE MMOJA N.K.
HALAFU MTU ANAPOKATA RUFAA SYO KWAMBA KESI INAANZA UPYA, HAPANA, NI KWAMBA MAHAKAMA YA JUU INAREFER MAKOSA YA UAMUZI WA AWALI.
USIOMBE USINGZIWE KESI MKUU
HALAFU MKUU NAKUSHAURI TEMBELEA MAGEREZA SKU MOJA, UTABAIN ALMOST 99% YA WAFUNGWA NI WATU WANYONGE (MASKINI)
Kwanza niseme mimi ni miongoni wa wale wanaoamini kuwa Babu Seya and co walitenda makosa na adhabu waliyopewa inastahili. Hata hivyo muda waliokaa jela unatosha kuwapa funzo na hawatarudia tena makosa kama yale. Pili naungana na wewe kusema kuwa ''ingependeza zaidi'' kama rais angetoa msamaha kwa wafungwa wote wa ubakaji ambao wameshakaa gerezani kwa zaidi ya miaka 15 (ikiwa ubakaji wao haukuendana na uuaji au ukatili mwingine). Na kama ulivyosema jela zetu zimejaa wabakaji wengi ambao ukiangalia mazingira ya ubakaji wao inakuwa si haki kukaa jela maisha.Sema kaangalia Motive ya Kisiasa sio ubinadamu!
Kuna Vijana wa Miaka 20 bado akili hazijakomaa wamempa Mimba Kijana mwenzie wa Miaka 18 ambae ni Mwanafunzi wamepigwa Mvua za Miaka 30, Nani hapo alistahili Msamaha Tena kuumbuka Huyu Kijana kabaka kwa Mujibu wa Sheria sio kuwa katumia nguvu kuingilia
Hoja yako sijaipata vizuri. kama suala ni kuwa waliopatikana na hatia na rufaa walishindwa, basi ngoja nikukumbushe wale wote waliopata msamaha walikutwa na hatia na ndio maana ya msamaha.Mimi bado napinga Uamuzi wa Magufuli wa kuwasamehe kina Babu Seya hata Kama ni uamuzi halali!
Nategemea Mashirikia ya haki za Watoto wapinge nao!
Watu wameenda mpaka Court of appeal na wamefanya review ya Kesi bado wamekutwa na hatia Halafu wanaachiwa kwa kweli sijaipenda hata Kama Rais Ana haki hiyo!
Hoja yako sijaipata vizuri. kama suala ni kuwa walioatikana na hatia na rufaa walishindwa, basi ngoja nikukumbushe wale wote waliopata msamaha walikutwa na hatia na ndio maana ya msamaha.
Ni kusamehe walio na makosa.
Hivi umewahi kuwa na kesi?Mwenendo wa kesi anaandika hakimu kwa hiyo kama kuna mambo ya msingi yanayotakiwa kuandikwa na akayaacha huna jinsi ya kubadilisha labda utaratibu wa kurekodi ungepewa nguvu.Kwa hiyo kama aliyeandika hukumu ameandika kwa kupuuza mambo mengine unaweza usichomoke hata kwenye rufaaMahakama zote walizopitia mpaka Court of appeal ambayo bado inaaminika mpaka Sasa imewakuta na hatia na hata walipoomba review ya kesi Yao bado wamekutwa na hatia!
Hapa tunajadili Msamaha wa Kifungo cha Babu Seya sio uhalali wa hukumu yake au Mfumo wa Uendeshaji kesiHivi umewahi kuwa na kesi?Mwenendo wa kesi anaandika hakimu kwa hiyo kama kuna mambo ya msingi yanayotakiwa kuandikwa na akayaacha huna jinsi ya kubadilisha labda utaratibu wa kurekodi ungepewa nguvu.Kwa hiyo kama aliyeandika hukumu ameandika kwa kupuuza mambo mengine unaweza usichomoke hata kwenye rufaa
Nimekupata mkuu.Hujaelewa Kwanini nimeandika hivyo!
Nilikuwa na jibu aliekuwa anatetea Msamaha huo kwa hoja kuwa wamesingiziwa ndio nikamjibu hapa tunajadili Msamaha sio kushinda Rufaa