Straddler
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 722
- 193
Aisee!!! Dunia ina mamboHata mie wangu mwezi sasa. Njoo tusaidiane mwenzangu. Nasikia ni raha tu kama kuwa na mwanaume. Tujaribu!
Hhahaha Wingu anamshtua akiwa kavaa jinsi??? Haha sie wa siku hizi bwana yaani tukijitahiiiidi sana tunatinga skin tight ndio tunaona tunaseduce maaaaaan kuna vichokoza mume wajameni vinavyoendana na mwili wako. Usafi, manukato si mpaka uwe unaenda kanisani, kuna vi-guo vya kuzimia TV mbele yake; kuna vya kukunjia nne mkiwa mnekaa wenyewe kuna vya kukimbia mende; kudandia juu ya kiti ilmradi full vituko.Unamshtua mwanaume wakati umevaa jinsi utasubiri sana.Manake nyie wanawake wasiku juzi balaa.Kama anaendelea kutokuelewa njoo bibie nikupe joto la miezi kadhaa
Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.
umri ukifika utakumbuka kama sio mmeo basi mmoja wenu atakuwa na matatizo kwa ngono baadaye ngono sio chakula kila siku mwili lazima upumzike na sikila siku.jaribu kupumzika uone tendo utakavyokuwa unalifurahiaAfu mtu analalamika mkewe anatoka nje ya ndoa,na wakati anashindwa kumkuna
Mi wangu huwa anapumzika in danger days tu,siku zilizobaki ni mzk kwenda mbele
ana experience Orgy daily.
Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.
Yaani kwamba wewe umeshindwa kumtega? Eh we bi dada hebu uwage unakuja PM kwanza kabla hujarusha hadharani. Kwa mwanamke mbona ni rahisi tu kugeuza hali ya hewa best? Mashamushamu, ucheshi, upendo khanga za India, maji n.k umevimaliza?
Preta njoo mama twende nikakudhuru!! nina sumu kali Jmoc hii
Shoga tabu yote ya nini?
Kula vichwa kama huna akili nzuri.
Ukiona hvo,ujue kuna mtu anammwagia wazungu wake.
Ukishindwa nitakusaidia.
Wanaume wanakera kwa kweli.
Mwenzio anamaliza mambo yake saa6-9mchana, anarudi ofisini anafungasha na kurudi kwako akiwa kajichokea...
Akicheza na wanae nusu saa basi ni usingizi wa hatari na kumuwaza yule anayempa mibinuko ya sarakasi!
Chukua hatua!..Tafakari!
Source: lara 1
mkalie zile style ambazo unajua zinamtoa nyoka wake
Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.