Huyu mwanaume mbona hanidhuru

Huyu mwanaume mbona hanidhuru

Bibie habari yako, kwanza punguza munkari na ondoa maneno ya kejeli maana huko nje kuna wanawake wana uke mtamu kuliko hata huo mdebwedo ulio nao. Umetutusi wanaume na kutudhalilisha hapa jamvini.
Kaa chini na mumeo uongee naye na utumie maneno haya haya uliyotumia hapa jukwaani, kifuatacho ITV itakua ndio suluhisho la ndoa yenu, otherwise jifunze adabu kwanza alaaah!
Duu nawe mbona unamtukana bana badala ya kumshauri kwa busara nini cha kufanya. Its not good kwa kweli.
 
Nendiwekilasa;
Mbona hujatupa matokeo ya ushauri uliopewa? Umetoweka kabisaaaaa
 
kuwa mvumilivu 2. mbona umevumilia muda wote hushindwe sasa. acha tabia mbaya ya kuangalia nje. huyo mumeo unatakiwa kumrudisha ktk hali yake ya zamani. so kutoka nje ya ndoa siyo suluhu hata kidogo. jichunguze inawezekana una kasolo fulani ndo mana anakufanyia hivyo ili ujifunze. kwa ushauli zaidi ni inbox facebook ntakuambia 2. npo kwa ajili ya kushauri watu
 
Back
Top Bottom