Huyu mwanaume ananichanganya sana

Huyu mwanaume ananichanganya sana

Auntie nilicheka hiyo siku huku mwenzangu analia. Nikamwambia "msiba wa kujitakia hauna kilio,naona unazo nyingi nipe na mimi".
Ahahhaha auntie nimecheka sana jaman kama mazuri na hilo lijanamke lililopiga simu halina aibu kwahiyo wanaishi kwa style hiyo
 
Te he he he! Hata mtukufu alisema maisha magumu tusicheke na wajinga! Hapo unakuta amekupigisha kwata usiku kucha tena anakula kama kesho harudi! na Maini umepika! Anaondoka anaacha buku 5 chaaaa MAMBO YAKULA KUKU NA KULIPA NG'OMBE siyawezi unless I give him for charity!
Yani usiku anapewa uno asubuhi anapewa hela mwanaume ana dhambi huyu!!!!
 
Hapo jamaa anajiona mjanja kinyama sana usipomzingua
 
uwiii na umekaa hapo unauliza wanaJF?! ebu mtafutie mwenzio hiyo shilingi elfu arubaini jumapili akajiachie na kabinti hahahhaha jamani wanawake wengine mnatia hasira
Utakuta hiyo 40 nae kaombwa huko ha ha ha
 
kwa nini tujitegemee na mpoooo, kama hampo tunaweza ila kama mpo pls mjiongeze
loooh uanaume nao kazi eti ndo maana mliambiwa mtakula kwa jasho

teh teh
Shem,
Mwanaume ni binadamu kama binadamu wengine... Tuna mapungufu yetu na kasoro kibao.

Kasoro yangu ni tofauti na ya mwingine. Kikubwa ni wewe mwanamke kumsoma mwanamme kama haeleweki usikae umhudumie tu unam-shit unatafuta mwingine ukishindwa kupata basi kaa ujihudumie mwenyewe maana unaweza.
 
Ahahhaha auntie nimecheka sana jaman kama mazuri na hilo lijanamke lililopiga simu halina aibu kwahiyo wanaishi kwa style hiyo
Baada ya kilio kuisha ndio tukaanza kumjadili huyo alopiga simu, kuna watu wana ujasiri humu duniani acha kabisa auntie yangu.
 
Sijui hata shida ni nini kwakweli, tena gia yao ni hiyo hiyo ya kukopa!! Ukijichanganya tu imekula kwako.
anakufanya vicoba ghafla hahahah, wanaume saivi wengi wanapenda mteremko. ila kulea libaba la 36 midevu imemkomaaa si bora ujiuwoya
 
Shem,
Mwanaume ni binadamu kama binadamu wengine... Tuna mapungufu yetu na kasoro kibao.

Kasoro yangu ni tofauti na ya mwingine. Kikubwa ni wewe mwanamke kumsoma mwanamme kama haeleweki usikae umhudumie tu unam-shit unatafuta mwingine ukishindwa kupata basi kaa ujihudumie mwenyewe maana unaweza.
kunywa loshoro hapo ulipo ya baridiiiiii
hapo umenena kabisa, hakuna haja ya kujiumiza
loooh
 
Hahahaaaa! Furushi langu leo zamu yake kupika.
Haha...
Yaani wanawake wa siku hizi mnavyojua kuaibisha huwa nashangaa wanaume wanaowalalia wanawastahimilije
 
True!!!!
Wanaume siku hizi hawataki kabisa majukumu, yani mwanaume anaweza kuvuta mdomo siku nzima,anazunguka mdomo umekua kama wa bata kisa kaombwa hela ya mboga.... Fuken
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Faken kabisa!
 
Kabisa
Iote na kutu kuliko kujidanganya ati ataolewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kuolewa asikuoe au akuoe we ndio ubebe majukumu ya ubaba
 
Back
Top Bottom