uwiii na umekaa hapo unauliza wanaJF?! ebu mtafutie mwenzio hiyo shilingi elfu arubaini jumapili akajiachie na kabinti hahahhaha jamani wanawake wengine mnatia hasiraHuyo mwanaume anaujua udhaifu wa huyu bi dada, anajua kuwa anahitaji sana ndoa ndio maana anafanya hivo....
Utakuta huko ana kitoto kipya namba D anahudumia tu (na nakumbuka huyu dada alishamfuma na kabinti wala mwanaume hakushtuka).
Ndio maisha aliyoyachagua lakini, acha awaoneshe tu walimwengu kuwa nae anaolewa wakati hana furaha