Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,490
Ulimwambia ukweli kuwa unampotezea auMe kuna mdada yanii mpaka nafsi ikawa inanisutaa.!! Nlikuwa nampotezeaa mpaka too much lakini wapii hajawahii nipotezea...Msg...calls kilaa saa me sina hata muda naee.. Wadada mkipenda ni shidaa