Huyu mwanaume ananichanganya sana

Huyu mwanaume ananichanganya sana

Ujue wanaume huwa tunataka makavu maana kuja kulala nila kuacha pesa lazima niwe na aibu sana, mpe ukweli huyo mwanaume mwambie unakuja kulala hapa unakula hutaki kuacha pesa ya matumizi basi ishia huko ambapo utapata vya bure. full stop usikubali akaja kulala tena hapo kwako sio mstaarabu huyo ni mlevi kwanza anatakiwa akueleze matumizi ya mshahara wake kama kweli ni mwema kwako
 
kunywa loshoro hapo ulipo ya baridiiiiii
hapo umenena kabisa, hakuna haja ya kujiumiza
loooh
Mzee mrema alishasema WANAWAKE WA TANZANIA MNA UCHUMI ILA MMEUKALIA ila hakumaanisha utakayofikiria.
 
Hata wakaka ukikutaa mtu kapendaa anahongaa hata ambavyo huna uwezoo navyoo..!! Mtu anakopa kabisaa ili mradi amfurahishe mdada... Tenaa nyie mkijua tumedata ndo daaah... Vizingaa miaa kibaoo na ukutee hujanipenda yanii ntajuta...
 
hizo fursa nazo sio ishu, maana hata kama wewe ni mwanaume unamtumia mwanamke vile ni ujinga tu
una proove unaweza kuwa mwanamke ungewezeshwaaa


NB:naona aibu mie wanaume wa hivi
Kuna mahali inatakiwa tujue kuwa ndoa ni zaidi ya tuwazavyo, na sie tumezidi kutetemekea hizo ndoa jamanii, imagine baba mtoto amlishe mwanaume mwingine???? Haoni hata aibu kusimulia aki huyu bidada ni changamoto.
 
anakufanya vicoba ghafla hahahah, wanaume saivi wengi wanapenda mteremko. ila kulea libaba la 36 midevu imemkomaaa si bora ujiuwoya
Ukishaona dume 35+ bado halijaoa na halina muelekeo wala hajitambui haki hilo ni furushi unapaswa kujiepusha nalo kama ukoma!!!
 
Ukishaona dume 35+ bado halijaoa na halina muelekeo wala hajitambui haki hilo ni furushi unapaswa kujiepusha nalo kama ukoma!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee mrema alishasema WANAWAKE WA TANZANIA MNA UCHUMI ILA MMEUKALIA ila hakumaanisha utakayofikiria.[/QUOTE,
nimekusoma aisee, ila hata kwa wanaume siku hizi uchumi mnao ila mmeukalia tu

NB: Sikumaanisha utakachofikiria
 
Ujue wanaume huwa tunataka makavu maana kuja kulala nila kuacha pesa lazima niwe na aibu sana, mpe ukweli huyo mwanaume mwambie unakuja kulala hapa unakula hutaki kuacha pesa ya matumizi basi ishia huko ambapo utapata vya bure. full stop usikubali akaja kulala tena hapo kwako sio mstaarabu huyo ni mlevi kwanza anatakiwa akueleze matumizi ya mshahara wake kama kweli ni mwema kwako
Labda anaogopa ndoa itaota mabawa, ana hamu sana ya kuolewa
 
Hahaha[emoji109] [emoji109] chalii umemficha wapi?
 
Kuna mahali inatakiwa tujue kuwa ndoa ni zaidi ya tuwazavyo, na sie tumezidi kutetemekea hizo ndoa jamanii, imagine baba mtoto amlishe mwanaume mwingine???? Haoni hata aibu kusimulia aki huyu bidada ni changamoto.
yaaani acha tu, huyu bidada nae kazidi
ila kama kashaona hivyo anangang'ania nini? ninachoona huyu mwanaume anatumia fursa kwa kweli hakuna upendo hapo
 
Hahaha[emoji109] [emoji109] chalii umemficha wapi?
yaan kabanwa na majukumu, ujue kuna mambo mazito yako hapo mbeleni lazima ajipange

NB: usiwaze sana utajua tu siku si nyingi
 
yaan kabanwa na majukumu, ujue kuna mambo mazito yako hapo mbeleni lazima ajipange

NB: usiwaze sana utajua tu siku si nyingi
Hata kupatikana hapatikani.... Hongereni kama ni mambo mazuri yanakuja
 
Ashakufanya chuma ulete huyo, ukute hapo kuna mdada somewhere anakula mshahara wake na mwisho wa cku hata asikuoe....kifupi achana nae, furahia single life yako na mwanao, kama umeandikiwa kuolewa utaolewa mamy. Usiruhusu binadamu mwenzio akukoseshe raha hata kidogo. Usiwe mtumwa
 
Back
Top Bottom