elitee
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 327
- 339
On point rikiboy wangi hudhan paipu ndio kila kitu ndio maana unaona tunafanya double allocation of love! Hata mapenzi yanataka upeo sio kugeuza geuza vistyle unabanika mbuzi.Haa ha ha ha...Yanii kama manzi unampaa vizuri jua ni mwanzoni tuu maana Wanawake huwa hawahitaji sana Ngonoo.. so kuna kipindi inabidi usimame kama Mwanaume kwenye mahitaji..Hapo ndo wengi huwa tunafail...