Huyu mwanaume ananichanganya sana

Huyu mwanaume ananichanganya sana

chamsingi angalia ksma ana mapenzi ya kweli kwako asije akawa anakutumia tu na kukuahidi ndoa uchwara maana tunajijua sisi wanaume hatukawii kuahidi ndoa ,kama ana mapenzi ya dhati kwako basi kutokukupa pesa isikupe shida lamda ubahili tu
 
Dada, msingi mzuri Wa ndoa yako unaujenga mwenyewe, wewe una 30yrs unahic ni mkubwa? Kuna mnama hapa home kwetu anawatot 2 wakiume ni mkubwa yupo chuo mwaka wa3 sasaivi haka kadog kapo la 6 na hajaolewa wala aishi na mwanaume na cjawai kumckia hata akiwish kuolewa.
Ckushauri eti usiolewe apana lakini akikisha unamsingi mzuri katka ndoa yako huyo mwanaume atakutesa tu na hiyo hela ucmpe mwambie biashara imeyumba.
 
Swali la utangulizi:

Naomba niulize hivi kuna wanawake wakikaa na kuishi bila kutumia pesa ya mwanaume kwao maisha hayaendi?

Mchango:
Anakulalia ni vibaya kama anakula hadi kwako ila kusex na wewe sio guarrantee ya kulipwa labda kama unamuuzia.
Dabby hamaanishi hivyo sawa, na labda nikuulize wewe unawezafanya hivyo? Unalala nae kila cku, unakula kwake kila kitu chake ivi hata utu tu haukuingii? Sio vizuri bana
 
Atakuwa AnnaPita kama I'd yako ilivyo. But elewa kila dume na tabia zake usiwe na papara ukiachana na huyo utakutana na anayekupa hela nyingi ila bomu la machozi. Wanaume hatuzoeleki ukinizoea ni sawa na kuomba nikupe talaka [emoji23]
 
Swali la utangulizi:

Naomba niulize hivi kuna wanawake wakikaa na kuishi bila kutumia pesa ya mwanaume kwao maisha hayaendi?

Mchango:
Anakulalia ni vibaya kama anakula hadi kwako ila kusex na wewe sio guarrantee ya kulipwa labda kama unamuuzia.
Huyu Dada ana akili za kishostito yaani kuambiwa .

Shauri yake ratio ya wanaume kwa wanawake duniani ni 1:3
 
Huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenzi tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumbani japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafahami mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akili ya kujiongeza mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwezi naweza pata faida kama ya lak 4 .mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hivi.

Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani.

Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote.

Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumizi ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs.

Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote.

Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Usikubali kuolewa na mtu kama huyo maana ukiolewa naye tuu chaguo kutoka kwa mungu litakuja maana hilo litakuwa linajiongeza sibiri hilo chaguo.
 
Swali la utangulizi:

Naomba niulize hivi kuna wanawake wakikaa na kuishi bila kutumia pesa ya mwanaume kwao maisha hayaendi?

Mchango:
Anakulalia ni vibaya kama anakula hadi kwako ila kusex na wewe sio guarrantee ya kulipwa labda kama unamuuzia.
Mmmmh!!!!!haikuandikwa hivyo katika KITABU chochote!!!I we Qur'an au Biblia,mwanaume inampasa kumtunza mwanamke,!!!!japo siku hizi ni huo utandawazi,basi walau kushare wote,
 
Huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenzi tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumbani japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafahami mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akili ya kujiongeza mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwezi naweza pata faida kama ya lak 4 .mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hivi.

Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani.

Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote.

Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumizi ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs.

Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote.

Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Inahitaji moyo kwa kweli,lkn huyo. Mmmh!!!!!jiongeze hapo anataka hata hizo elfu 5000alizotoa zirudi,binafsi hapana kwa kweli utaugua moyo kwa kumfikiria huyo Mume mwema anatoka kwa Mungu
 
Ila kuna wanaume wana roho ngumu sana ndo yule mwenye 36years?
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Dabby hamaanishi hivyo sawa, na labda nikuulize wewe unawezafanya hivyo? Unalala nae kila cku, unakula kwake kila kitu chake ivi hata utu tu haukuingii? Sio vizuri bana
Mimi ukiniuliza nitakujibu siwezi kufanya hivyo. Na siwezi kuwa na mwanamke anayenihitaji saana zaidi ya ninavyomhitaji mimi.

Huyu bidada anamhitaji saana mwanaume ilihali anauwezo wa kuishi bila yeye. Ndiyo maana nikauliza je kuna wanawake bila kuweka akilini mwanaume lazima achangie pesa kwenye maisha yake maisha hayawezi kwenda?
 
Back
Top Bottom