Huyu mwanaume ananichanganya sana

Mmmmh!!!!!haikuandikwa hivyo katika KITABU chochote!!!I we Qur'an au Biblia,mwanaume inampasa kumtunza mwanamke,!!!!japo siku hizi ni huo utandawazi,basi walau kushare wote,
Vitabu visitumike tunabodai haki tulizokosa tu hata kutimiza wajibu.
 
Hakuna mwanaume hapo ......mie lijanaume lijinga lisilojua kujiongeza huwa siishi nalo kabisaaaaa napiga chini
 
Wadada wakishaenda umri mkubwa ni rahisi sana kuwafaidi,mimi huwa napita hukohuko!!.......Kuna mmoja juzi amelipia lodge yeye!!
 
Dada uko desperate na kuolewa eenh... Hizo ni red flags unazoziona ,huyo jamaa ndo yupo hivyo hata huko ndoani wew ndio utakua unalea familia.Akili kichwani mwako!
 
yaani omba Mungu jinsia yeyote, awe wa kike au kiume ajue una usongo na kitu fulani kutoka kwake
utaisoma namba ambayo iliyofutika sijui utafanyeje
Kusema ukweli nachukia sana hali hii na Mungu atusaidie


Haaa haaa....you're so expert
 
Fikra za utegemezi sio nzur sana....na hamjakaa pamoja na kuongea...u hav to b committed inaweza kuwa mapenzi yenu mnasakanyana kweny hela tuu....angalien....msipokaa sawa hata kuoana itakuwa ngumu.....nani kawaammbia wachumba wanaishi pamoja na kupeana hela....
 
Hapa ndipo kinadada wengi wanapokosea, kwakua umri unamtupa mkono anajaribu hadi kutumia Papuchi kumnasa mwanaume.
That's totally wrong, wanaume wanaoa wanawake wanaojiheshim na wenye misimamo na malengo,
Set goals zako vizuri, jitulize,
Valia nadhifu kiheshima kama mama wa mtoto mmoja,
Likija hilo bwege liulize mipango yake kwako, halieleweki piga chini, hamna kula "daku"
Litaisoma na kujiongeza
 
Umeoa huyo, acha kumuendekeza piga chini labda km hutongozeki mvumilie ivo vidume sijawahi kuviona walahi au huwa mnatupa chai tu humu!!!
kashakwambia giza limeanza kuingia 30 yiazi net!!ohoooooo
 
Huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenzi tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumbani japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafahami mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akili ya kujiongeza mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwezi naweza pata faida kama ya lak 4 .mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hivi.

Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani.

Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote.

Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumizi ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs.

Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote.

Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu

Vipi ulikuja kuolewa na kaka??, maana hii january na sikuona kadi ya harusi
 
Huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenzi tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumbani japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafahami mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akili ya kujiongeza mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwezi naweza pata faida kama ya lak 4 .mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hivi.

Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani.

Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote.

Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumizi ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs.

Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote.

Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Ungeanza na HADITHI HADITHI ingependeza zaidi
 
Huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenzi tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumbani japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafahami mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akili ya kujiongeza mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwezi naweza pata faida kama ya lak 4 .mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hivi.

Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani.

Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote.

Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumizi ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs.

Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote.

Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Mna mawasiliano mabovu ndio chanzo
Unajua kila mmoja kakuwa kwenye makuzi yake
Na kila mmoja ana tabia zake
Sasa mnapokutana kwa lengo lakuja kuishi pamoja
Inabidi kurekebishana tabia ili ziendane muweze kuishi pamoja
Mtu anaweza kuwa anakosea na hajui kama anakosea wewe ndio wakumwambia
Kukaa kimya huku unaumia itakucost
Hata baada ya kuoana hautafurahia maishi
Matokeo ni kwamba maumivu huenda yakaongezeka
 
Huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenzi tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumbani japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafahami mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akili ya kujiongeza mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwezi naweza pata faida kama ya lak 4 .mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hivi.

Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani.

Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote.

Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumizi ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs.

Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote.

Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Mh pole sana. Angekua ana nia njema ya kuishi na wewe ungeshamuona. Mrudie Mme wako wa mwanzo ndio suluhisho kama anatuma matumizi. Ukiwa na ham ndo umuite au uamue kuishi na mwanao basi nahivi una biashara kaa tulia.
 
Gold digger wa kiume huyo!
Hakuna uwezekano wa kurudiana na baba wa mtoto wako?huyu mchumba wa sasa umemzidi umri?

Ila kwa upande mwingine nakushauri kama unaweza uwe unamuomba ukihitaji..kuna watu ambao hawawezi kujiongeza,hawatoi bila kuombwa

so unataka kusema mtoa mada ni gold digger wa kike joanah
 
Huyu mwanaume kanichosha kabisa sijui tu nifanyeje ni mpenzi tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumbani japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye simu so wanafahamu mtoto wao ana mchumba japo hawajaniona.

Kinachonikera kwa mchumba wangu huyu hana akili ya kujiongeza, mimi nina duka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwezi naweza pata faida kama ya lak 4. Mwenzangu anafanya kazi katika kampun flani ana mshahara mzuri tu kuanzia million hivi.

Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki mimi sina tabia ya kumuomba hela huwa nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke nahitaji matumiz gani.

Ajabu hawezi jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuhi haachi hata hela ya matumizi au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote.

Yaani nakuta najigharamia kila kitu kuanzia, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka, saloon, nguo kula yaani kila kitu kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sorry akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hivi akaacha. Napata uchungu Mimi nina mtoto nilizaa na mwanaume mwingine huwa anatoa hela ya matumizi ya mtoto, unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda, Nina 30yrs.

Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha, nakaa Dukani kuanzia asubuhi mpaka SAA NNE sina msaada wowote, yeye akija niku sex tu asubuhi akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na hanisaidii chochote.

Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia, nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako Jumapili unipe mshahara ukitoka nitakurudishia bado nawaza hata hanionei huruma???

Naomben ushauri ndugu zangu
Mmm hii kali! Kwanza wewe na huyo bwana ni wachumba. Pili analala kwako. Tatu hatoi matumizi. Nne wazazi wake wanakujua kwa simu! Hahahaha jiongeze na wewe mama!
 
Nilishakuambia nitakugharamikia baada ya kukuoa sasa nashangaa umekuja kunianika huku.
Nashukuru sana Anet.
 
Back
Top Bottom