Huyu mwanaume ana roho ngumu

Huyu mwanaume ana roho ngumu

Jamani uku tunapoenda hili jukwaa litakuwa kama FACEBOOK.Yaani iko ndicho cha kupost humu...aisee kali ya mwaka......unakuwa mgeni then unaleta mada kama hii.
 
Daaah!!! Vipi lakini unyumba huwa anakupa bila tatizo??
NB: huyo mwanume hana hisia kabisa na wewe ila amejiweka kwako kwa ajili ya hiyo baridi uliyotuambia..Angalia usawa mwingine
inawezekana eh dah
 
Alitegemea ungemuomba akukumbatie au ungemuomba mkabanduane, maana si kwa kibaridi cha miezi hii, Kama kichwani alikuwa akiwaza mawazo kama hayo aisee sweta usingepewa sababu mwenzio alikuwa akitumia balls na sio brains kwa Muda huo, Sasa mtu wa hivyo mjaribu kumwambia mkapime Ngoma ndo Hutomuona kabisa....Pole siku ingine mjaribu kumwambia una hamu uone...atakuwa mchangamfu na hutokuja kushtaki humu.
kweli hata siku nikiwa mwezini anamaind kweli
 
Nimekua guest wa JF kwa muda mrefu mpaka yaliponikuta nikaamua kujoin chama la wana rasmi.
Kuna vitu ambavyo vinatokea katika mahusiano yangu vinanikwaza,vipo vingi ila wiki ilopita ndo nliumia zaidi.
Tulitoka dukani(my boyfriend and I) sa njiani nkaanza kuskia baridi sana,nkamwomba sweta lake alokua amevaa mana ye at least alivaa nguo nzito ndani ila alininyima.Nliumia nkajiuliza ina mana hawezi kusacrifice for me kwa distance fup ilobaki kutoka dukani hadi home? akati ingekua mm ningempa bila kusita.
Sawa mama karibu.
 
Huu ufilipino na ukorea na uistagram unatuharibia tamaduni zetu, endelea mapenzi ya movie utamchukia kila mwanaume.
 
Ww mwanamke mjinga sana yani sweta ndyo limekufanya uharibu MB zako?
 
Kuunyima sweta tu ndo unasema anaroho ngumu!!!!! Unaijua roho ngumu kweli?
 
Back
Top Bottom