Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,946
Historia haidanganyi baada ya muhula huu jina lake linajifuta kwani historia itamhukumuUtani pembeni Masaju ni msomi kweli kweli wa sheria kama vile 'Mwaki Embe'! Hawa wasomi wakiwemo maprofesa wanaacha taaluma zao nje wanapoingia siasani. Sasa huyu masaju anajua fika kuwa yuko bungeni kwa kofia ya mwanasheria mkuu lakini keshajivika ukada wa mamlaka ya uteuzi. Huwezi tarajia la maana!