Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,573
Wakuu kama mnafuatilia mijadala ya bunge kuna jambo linashangaza, huyu mwanasheria mkuu wa serikali Bw. George Masaju mbona amevaa sura ya ubunge(mwanasiasa) kuliko sura ya utumishi wa umma.
Nasema hivi kwa sababu sheria ya utumishi wa umma inamtaka mtumishi asiegemee upande wowote wa chama cha siasa lakini huyu Masaju ukimuangalia anaongea kiushabiki wa chama cha siasa.
Hii ni hatari kama tumefikia huku, alafu nimejikuta namshusha heshima zake kutoka 100% mpaka 0%.
Mungu anisamehe kwa mtazamo huu.
Nasema hivi kwa sababu sheria ya utumishi wa umma inamtaka mtumishi asiegemee upande wowote wa chama cha siasa lakini huyu Masaju ukimuangalia anaongea kiushabiki wa chama cha siasa.
Hii ni hatari kama tumefikia huku, alafu nimejikuta namshusha heshima zake kutoka 100% mpaka 0%.
Mungu anisamehe kwa mtazamo huu.