Huyu Mwanasheria Mkuu wa Serikali mbona simuelewi

Good Father

JF-Expert Member
Feb 28, 2014
10,321
18,573
Wakuu kama mnafuatilia mijadala ya bunge kuna jambo linashangaza, huyu mwanasheria mkuu wa serikali Bw. George Masaju mbona amevaa sura ya ubunge(mwanasiasa) kuliko sura ya utumishi wa umma.

Nasema hivi kwa sababu sheria ya utumishi wa umma inamtaka mtumishi asiegemee upande wowote wa chama cha siasa lakini huyu Masaju ukimuangalia anaongea kiushabiki wa chama cha siasa.

Hii ni hatari kama tumefikia huku, alafu nimejikuta namshusha heshima zake kutoka 100% mpaka 0%.
Mungu anisamehe kwa mtazamo huu.
 
Kilichomuwepa pale ni UKANDA na sivingnevyo kwa maana kichwani ni empty space
Yaani ukimtazama anavyoongea hana tofauti na Lusinde yule mbunge anayetoaga hoja za matusi huku anacheka, Masaju hafanani na lawyer.
Najua lawyers ni watu smart sana kuanzia kwenye mazungumzo na kujenga hoja, Masaju hakuna kitu pale kabisa
 
Yaani ukimtazama anavyoongea hana tofauti na Lusinde yule mbunge anayetoaga hoja za matusi huku anacheka, Masaju hafanani na lawyer.
Najua lawyers ni watu smart sana kuanzia kwenye mazungumzo na kujenga hoja, Masaju hakuna kitu pale kabisa
Kwahiyo tumlaumu nani sasa? Yeye au aliyemteua? Maana hapo lazima kuna ubashite
 
Yaani ukimtazama anavyoongea hana tofauti na Lusinde yule mbunge anayetoaga hoja za matusi huku anacheka, Masaju hafanani na lawyer.
Najua lawyers ni watu smart sana kuanzia kwenye mazungumzo na kujenga hoja, Masaju hakuna kitu pale kabisa
Mimi nimeona Mwanasheria Mkuu wote tangu enzi za Judge Samatta sijaona Lawyer sharp kama huyu. Chenge pia alikuwa sharp lakini hamfikii, mdomoni mzito. Bahati yake mbaya Masaju katoka kwenye jamii zilizoachwa nyuma kwa faida ya Kanda moja, anaonekana hafanani kwa wanakanda.
 
Wakuu kama mnafuatilia mijadala ya bunge kuna jambo linashangaza, huyu mwanasheria mkuu wa serikali Bw. George Masaju mbona amevaa sura ya ubunge(mwanasiasa) kuliko sura ya utumishi wa umma.

Nasema hivi kwa sababu sheria ya utumishi wa umma inamtaka mtumishi asiegemee upande wowote wa chama cha siasa lakini huyu Masaju ukimuangalia anaongea kiushabiki wa chama cha siasa.

Hii ni hatari kama tumefikia huku, alafu nimejikuta namshusha heshima zake kutoka 100% mpaka 0%.
Mungu anisamehe kwa mtazamo huu.
Ameegemea upande upi?unatokwa na makamasi kwa kusikia habari ambazo hupendi kuzisikia?
Uwe tu na uvumilivu wa kisiasa,Mbowe amesema hakuna alie juu ya sheria,ni lazima Mbowe akamatwe ili awasaidie polisi,kwa nini katibu wake myeka amepotea kazini halafu yeye anapanda ndege anakwenda ulaya kunywa mvinyo
 
Huyo jamaa nashangaa hata alipewaje uanasheria mkuu.. Wapitie upya vyeti vyake aisee... Hata ukiweka ukada pembeni jamaa is very empty!
 
Huyo jamaa nashangaa hata alipewaje uanasheria mkuu.. Wapitie upya vyeti vyake aisee... Hata ukiweka ukada pembeni jamaa is very empty!
YOU HAVE NOTHING YOU KNOW ABOUT THAT MAN.RATHER THAN SPEAKING WITH ZERO EVIDENCE.TO ME HE IS A HERO.KUNA VITU VINGI KTK NCHI HII AMEFANYA LKN KWA SABB YA UPOFU WAKO HUWEZI KUONA WALA KU RECOGNIZE MCHANGO WAKE KWA TAIFA.TUACHE KUKUMBATIA MITAZAMO YETU YA KISIASA ZAIDI SANA TUIWEKE NCHI MBELE.
 
Masaju ni mr zero mkuu
Utani pembeni Masaju ni msomi kweli kweli wa sheria kama vile 'Mwaki Embe'! Hawa wasomi wakiwemo maprofesa wanaacha taaluma zao nje wanapoingia siasani. Sasa huyu masaju anajua fika kuwa yuko bungeni kwa kofia ya mwanasheria mkuu lakini keshajivika ukada wa mamlaka ya uteuzi. Huwezi tarajia la maana!
 
Back
Top Bottom