samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Yeah inawezekana ila ukiona MTU anajaribu kutuaminisha kwamba kuna umakini wowote kwa huyu AG basi jua wewe ni Bashite+++ kabisaSasa kama
wewe vipaji maalum basi tuna shida! Inaonekana ulitumia cheti cha mtu wa vipaji maalumu!