D
Deleted member 485868
Guest
Duh..hivi huyo mwanamke ulitongoza au ulitongozewa ??yani ile ya fulani mwanamke mwenyewe ndie huyu malizana nae
mkuu kama nakujua ivi na sauti yako inakuja kabisa
so lazima kunijibu qum@ mwili mzimaKwani lazima ucomment mama mkubwa? Tulia basi
niwewe qum@ uliniletaKwani kilicholuleta kwenye huu uzi ni nini?
K wewe
we ni moderatorNshakupiga ban mb.wa koko wewe
Okey pole sana...hakuna. Kitu upendo hapoNilimtongoza mwenyewe.
mkuu samahani punguza rude reaction kumbuka wewe ndio mwenye uzi lazima uwe tofauti na sisi wachangiaji.Jitahidi kupotezea baadhi ya comment ingawa ni kweli kuna watu wanakera ila vumilia tu.mwisho kabisa epuka matusi yanashusha heshima yako.We ni fala eti?
Aaaah hapo unakosea sasa, coz hajakutusi mbona?We ni fala eti?
Acha uwongoo!mkuu kama nakujua ivi na sauti yako inakuja kabisa